Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.

View attachment 2596550
Hivi Klabu yoyote ile Siku hizi kufanyiwa Figisu ni Jambo la Kushangaza?

Kama mlijua mnaenda mbali huko na Kutwa mnatamba mna Hela kwanini hamkukodi Gari lenu?

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa mmeshajua Kesho mnafugwa na hapa mnatengeneza Kisingizio.

Sisi Simba SC tayari tumeshampa Zawadi ya Eid Rais na Watanzania bado nyie Kesho.

Mkiambiwa mjifunze Kucheza / Kushiriki Michuano ya Kimataifa kwa Simba SC hamtaki.

Hovyoooooooo.....!!!!!!

Cc: SAGAI GALGANO
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
images (33).jpeg

Kumbe Simba walikuwa waungwana.
 
Kwani bus litacheza au watachezea ndani ya bus?
Kwanini wasingekodi?
Huu ni ujinga ujinga tu
Ujinga ujinga maana yake ni nini mkuu? Neno ujinga linajitosheleza.
 
Timu imelalamika wapi? Unamjuwa msemaji wa Yanga?

Au unadhani Yanga ni kama club ya komoni tu mtu yoyote anaweza kuisemea?
Mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu. Wanapayuka tu bila ya sababu za msingi.

Mtu kajiletea taarifa yake from unknown source! Tayari masikio yao yamesimama kama popo kuilaumu klabu, as if ndiyo iliyotoa hiyo taarifa.
 
Hivi Klabu yoyote ile Siku hizi kufanyiwa Figisu ni Jambo la Kushangaza?

Kama mlijua mnaenda mbali huko na Kutwa mnatamba mna Hela kwanini hamkukodi Gari lenu?

Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa mmeshajua Kesho mnafugwa na hapa mnatengeneza Kisingizio.

Sisi Simba SC tayari tumeshampa Zawadi ya Eid Rais na Watanzania bado nyie Kesho.

Mkiambiwa mjifunze Kucheza / Kushiriki Michuano ya Kimataifa kwa Simba SC hamtaki.

Hovyoooooooo.....!!!!!!

Cc: SAGAI GALGANO
Cc: MINOCYCLINE 😇
 
Hili ndo basi wamepewa Yanga SC na wenyeji wao huko nchini Nigeria kwa ajili ya matumizi wakiwa nchini humo kwa ajili ya mchezo wa CAF confederation dhidi ya Rivers hapo kesho.

View attachment 2596550
Hivi gari mnapewa au mnakodi wenyewe? na kama mnapewa likiwa bovu si mnalikataa mnatafuta la kukodi
 
Mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu. Wanapayuka tu bila ya sababu za msingi.

Mtu kajiletea taarifa yake from unknown source! Tayari masikio yao yamesimama kama popo kuilaumu klabu, as if ndiyo iliyotoa hiyo taarifa.
91EB1BAE-3812-4FE1-B9DC-02393BA6B6B4.jpeg

Rashid mkomwa ni reporter wa clouds kasafiri na timu kwa maelezo yake ni wenyeji ambao ni liver wamedai wenyewe ni wageni kule lakini yanga walishafanya logistics mapema na walijipanga kwa kila kitu
 
4AF8A5E5-7F3B-4B36-BD7E-DBAB789CA748.jpeg
Kwa mujibu wa reporter ambaye amesafiri na timu Nassib Mkomwa anasema
Baada ya kukabidhiwa hiyo gari walihoji lakini walijibiwa kuwa hata wao ni wageni na huo ndo usafiri uliopatikana
bahati nzuri Yanga walijipanga mapema walishakodi usafiri wao binafsi mizunguko yao yote waki Nigeria
 
Watu tumeshapata sababu ya kuja kuisema huku hasa ukizingatia Kipigo kutoka kwa hao Rivers United hakiepukiki, manake naona dalili ya kufungwa bao 3 -1 huko ugenini.
 
Back
Top Bottom