Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

Yanga wafanyiwa figisu, wapewa gari bovu Nigeria

View attachment 2597067
Rashid mkomwa ni reporter wa clouds kasafiri na timu kwa maelezo yake ni wenyeji ambao ni liver wamedai wenyewe ni wageni kule lakini yanga walishafanya logistics mapema na walijipanga kwa kila kitu
Sasa hiyo gari ina tatizo gani kwani! Haitembei? Na mbona hata hai Yanga wana uwezo wa kukodi gari nyingine nzuri kama wanataka! Shida iko wapi? Huyo Rashid Mkomwa ndiyo msemaji wa Yanga?

Mimi nadhani ungemshauri kujikita kwenye kukusanya taarifa za msingi. Hayo mambo ya gari bovu sijui, hayana mashiko kwenye dunia ya sasa.
 
Simba sc wote mna chuki za kikeni, gubu kama mawifi jitafakarini
 
Back
Top Bottom