Yanga waileta AFCON Africa mashariki

Yanga waileta AFCON Africa mashariki

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Shirikisho la kabumbu Afrika (CAF) limeyakubalia mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027

Ambapo Kwa uchambuzi wangu naona raisi wa Shirikisho la mpira barani Africa Motsepe amepigania sana hii nafasi kwa sababu 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa michuano ya AFCON ni mafanikio ya Klabu ya Yanga kufika hatua fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF.

Maendeleo hayana Chama
Ahsanteni Wananchi
1695727040982.jpg
 
Shirikisho la kabumbu Afrika (CAF) limeyakubalia mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027

Ambapo Kwa uchambuzi wangu naona raisi wa Shirikisho la mpira barani Africa Motsepe amepigania sana hii nafasi kwa sababu 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa michuano ya AFCON ni mafanikio ya Klabu ya Yanga kufika hatua fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF.

Maendeleo hayana Chama
Ahsanteni Wananchi
View attachment 2764694
Kwanza unajua hata maana ya AFCON huenda hata hujui
 
Back
Top Bottom