Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Shirikisho la kabumbu Afrika (CAF) limeyakubalia mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027
Ambapo Kwa uchambuzi wangu naona raisi wa Shirikisho la mpira barani Africa Motsepe amepigania sana hii nafasi kwa sababu 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa michuano ya AFCON ni mafanikio ya Klabu ya Yanga kufika hatua fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF.
Maendeleo hayana Chama
Ahsanteni Wananchi
Ambapo Kwa uchambuzi wangu naona raisi wa Shirikisho la mpira barani Africa Motsepe amepigania sana hii nafasi kwa sababu 1 kwa Afrika Mashariki kuandaa michuano ya AFCON ni mafanikio ya Klabu ya Yanga kufika hatua fainali ya CAFCC na kuwa timu ya kwanza kucheza fainali za CAFCC na kuvaa medali ya CAF.
Maendeleo hayana Chama
Ahsanteni Wananchi