Timu Aziz ni mchezaji, kocha na refa kuna timu hapo? Akiwa ndani hafungi goli akitoka anakaripia wenzie wafunge😄😄. Kile ni kikundi cha futuhi. Kama ulivyosema nidhamu irudi Kwanza kama walivyoacha kujidunga wacheze Mpira. Yanga INA wachezaji wazuri 😂
Moalini ni kocha msaidizi wa yanga au umeongea kimihemko?Wameyatimba,
Walimpa mkataba usiku usiku Moalin wa KMC na kuwa mkurugenzi wa ufundi, wakampa mkataba Said Ramo kuwakocha mkuu ,ndani ya muda mfupi Auasems au Uchebe anatimuliwa Singida Big Stars.
Waneanza mazungumzo nae,si ajabu mmoja wao akavunjiwa mkataba as soon as possible kumpisha uchebe
Nitaendelea kusema kwamba tatizo la Yanga kamwe halikuwa Gamond angalau wangewafyeka Ali Kamwe na Meneja wa timu. Sababu tatizo la Yanga ni wachezaji wenyewe.Yanga wanahitaji kumuajiri Minziro arudishe kwanza nidhamu katika timu. Timu itayumba kidogo na wahesabu msimu huu umeshapotea ila nidhamu ikisharudi ndiyo watafute kocha mwingine wa maana. Msipofanya hivyo YAS!
Ni ushauri kutoka kwa mtani.
Aziz anachekesha sana,anawafokea wenxake wafanye kile alichoshindwa yeye,kama sio kituko ni niniTimu Aziz ni mchezaji, kocha na refa kuna timu hapo? Akiwa ndani hafungi goli akitoka anakaripia wenzie wafunge😄😄. Kile ni kikundi cha futuhi. Kama ulivyosema nidhamu irudi Kwanza kama walivyoacha kujidunga wacheze Mpira. Yanga INA wachezaji wazuri 😂
Tatizo ni meneja,nidhamu hakunaNitaendelea kusema kwamba tatizo la Yanga kamwe halikuwa Gamond angalau wangewafyeka Ali Kamwe na Meneja wa timu. Sababu tatizo la Yanga ni wachezaji wenyewe.
Kuhusu huyu Kocha Saed, nikiangalia tu jinsi anavyokuwa na wale wachezaji, naona wanamuelemea, sioni mamlaka, ni kama anaogopa kuwaudhi wachezaji. Ingawa tatizo bado lipo kwa wachezaji.
Kama ilivyo kwa Mangungu na Mudi pale ukolokoloniHata Hersi simuoni kuwa na maisha tena hapo matopeni
Mzee Magoma anasemaje kwani kuhusu kurujuani?Kama ilivyo kwa Mangungu na Mudi pale ukolokoloni