CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wale bado wapo wapo, haya mambo yanaibuka timu inapofanya vibaya,Kama ilivyo kwa Mangungu na Mudi pale ukolokoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale bado wapo wapo, haya mambo yanaibuka timu inapofanya vibaya,Kama ilivyo kwa Mangungu na Mudi pale ukolokoloni
Anasema yeye ameshamaliza ya kwake kama wanaona vipi wamfuate vinginevyo mayowe yatakuwa mengi sana mitaa hiyo kwani betri anayo yeye hata wastue vipi gari haiwezi kuwakaMzee Magoma anasemaje kwani kuhusu kurujuani?
Mkuu ushasema tatzo ni wachezaji, sasa Ali kamwe na meneja mbona unataka wafyekwe tena?Nitaendelea kusema kwamba tatizo la Yanga kamwe halikuwa Gamond angalau wangewafyeka Ali Kamwe na Meneja wa timu. Sababu tatizo la Yanga ni wachezaji wenyewe.
Kuhusu huyu Kocha Saed, nikiangalia tu jinsi anavyokuwa na wale wachezaji, naona wanamuelemea, sioni mamlaka, ni kama anaogopa kuwaudhi wachezaji. Ingawa tatizo bado lipo kwa wachezaji.
Meneja ameshindwa kusimamia nidhamu ya timu.Mkuu ushasema tatzo ni wachezaji, sasa Ali kamwe na meneja mbona unataka wafyekwe tena?
HahahahSide mnyamwezi eti Mjerumani[emoji1787][emoji1787] hawa Yanga wachunguzwe
Msimu huu umepoteaje? Haya ndio maajabuYanga wanahitaji kumuajiri Minziro arudishe kwanza nidhamu katika timu. Timu itayumba kidogo na wahesabu msimu huu umeshapotea ila nidhamu ikisharudi ndiyo watafute kocha mwingine wa maana. Msipofanya hivyo YAS!
Ni ushauri kutoka kwa mtani.
Anajua haswaYuleni kocha aswaa
Mwacheni aongoze timu kama yake ndio tunataka. Hiyo biashara ya kugusikagusika haimfai mwanaumeHersi timu ameifanya yake hakuna wa kumgusa
Yanga wanahitaji kumuajiri Minziro arudishe kwanza nidhamu katika timu. Timu itayumba kidogo na wahesabu msimu huu umeshapotea ila nidhamu ikisharudi ndiyo watafute kocha mwingine wa maana. Msipofanya hivyo YAS!
Ni ushauri kutoka kwa mtani.
Mchukue ukalale nae kwakoUchebe huyo ndio kocha sasa
Minziro mchukueni ninyi atawafaa.Yanga wanahitaji kumuajiri Minziro arudishe kwanza nidhamu katika timu. Timu itayumba kidogo na wahesabu msimu huu umeshapotea ila nidhamu ikisharudi ndiyo watafute kocha mwingine wa maana. Msipofanya hivyo YAS!
Ni ushauri kutoka kwa mtani.
Kama ushalala nae wewe inatoshaMchukue ukalale nae kwako
Kumbe kweli, nikajua ni maneno ya mtandaoni tu.