Yanga wakati wanafanya usajili, Simba wao walikuwa Uturuki wanatengeneza shepu

Yanga wakati wanafanya usajili, Simba wao walikuwa Uturuki wanatengeneza shepu

The Wing

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,135
Reaction score
1,828
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na nyuzi nyingi za kuwaaminisha watu kuwa Yanga ni timu dhaifu na kuwa ilishiriki kombe la Luza na hawataambulia chochote msimu huu.

Mashabiki wa Makolo wanajaribu kutembea na historia kuliko uhalisia. Wanashindwa kuamini kabisa kuwa timu yao Kwa sasa haiwezi kufikia ubora wa Yanga Kwa usajili maridhawa na wa kiufundi.

Kama inavyosemwa siku zote hii Yanga Kwa usajili mzuri wa hii miaka mitatu na kutobembeleza wachezaji itaandika historia mpya Africa msimu huu Kwa kufika fainali ya klabu bingwa Africa. Wazee wa Avic town tukae mkao wa kula.
 
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na nyuzi nyingi za kuwaaminisha watu kuwa Yanga ni timu dhaifu na kuwa ilishiriki kombe la Luza na hawataambulia chochote msimu huu.

Mashabiki wa Makolo wanajaribu kutembea na historia kuliko uhalisia. Wanashindwa kuamini kabisa kuwa timu yao Kwa sasa haiwezi kufikia ubora wa Yanga Kwa usajili maridhawa na wa kiufundi.

Kama inavyosemwa siku zote hii Yanga Kwa usajili mzuri wa hii miaka mitatu na kutobembeleza wachezaji itaandika historia mpya Africa msimu huu Kwa kufika fainali ya klabu bingwa Africa. Wazee wa Avic town tukae mkao wa kula.
ukiondoa maxi, simba wana viungo na wafungaji bora kuliko hata yanga. kuna siku watawashangaza.
 
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na nyuzi nyingi za kuwaaminisha watu kuwa Yanga ni timu dhaifu na kuwa ilishiriki kombe la Luza na hawataambulia chochote msimu huu.

Mashabiki wa Makolo wanajaribu kutembea na historia kuliko uhalisia. Wanashindwa kuamini kabisa kuwa timu yao Kwa sasa haiwezi kufikia ubora wa Yanga Kwa usajili maridhawa na wa kiufundi.

Kama inavyosemwa siku zote hii Yanga Kwa usajili mzuri wa hii miaka mitatu na kutobembeleza wachezaji itaandika historia mpya Africa msimu huu Kwa kufika fainali ya klabu bingwa Africa. Wazee wa Avic town tukae mkao wa kula.
Yanga malengo ni kufika fainali ya caf cl , Kama aliyefungwa na yanga amechukua ubingwa kutoka timu namba Moja Africa Al ahly yote inawezekana .
 
Ndiyo hawa hawa misimu miwili iliyopita walikuwa wanatucheka eti tumesajili bendi ya wacheza dansi kutoka Congo! Halafu mwisho wa siku wakaambulia maumivu kutoka kwa wacheza dansi hao hao.
Sawa ila kumbuka mnyama tayari ana ngao ya jamii..
 
Back
Top Bottom