Yanga wakati wanafanya usajili, Simba wao walikuwa Uturuki wanatengeneza shepu

Yanga wakati wanafanya usajili, Simba wao walikuwa Uturuki wanatengeneza shepu

Ukabaji wa Mohamed Hussein unanipa mashaka sana. Nikiangalia ile mechi na Mtibwa goli la kwanza lilivyofungwa jana tena yule mchezaji wa dynamo anavyompiga chenga uzembe sidhani kama Simba itatoboa
 
Kwa timu hii kuna siku watu watasema Al Ahly ya misri ni wabovu
Hivi mashabiki wa Vyura huna mnazo kweli huyo unayemtaja Simba alishamkarisha mara mbili ndani ya miaka 3 hata kumbu kumbu bado ni mbichi kwenye computer aspect kuna term mbili maarufu ROM & RAM ww kwenye ubongo wako unatumia aina gani Kati ya hizo mbili katika kukumbuka mambo.
 
Back
Top Bottom