Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Hivi El Merikh VS Simba mzunguko wake utakuwepo maana mimi sijui mambo ya mipira lengo ni kumjua nani zaifu kati ya hawa wawiliTuliwaambia waseme mapema kama El Merikh ni wabovu au lah. Wakasema hiyo ni bonge la timu