Yanga wakitumia angalau nusu ya Nguvu wanayotumia Wakicheza na Simba basi watunisia wanatoka!

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
sina mengi ,
Tayari tarehe mbili Imefika naamini Kabisa Ile Nguvu Yanga wanayotumia wakikutana na Simba,
Wakiitumia angalau nusu yake tu basi wanaingia makundi!
Kama Kuna ahadi , au mambo yanafanyika yanga inapoelekea kucheza na simba basi yakifanyika nusu yake tu,
Game inaisha Kwa mkapa!

Ingawa naamini Kabisa mechi kubwa Kwa Yanga ni kucheza na simba tu!
Sidhani kama huku kimataifa watatia bidii
Kwanza hili ni Kombe la LOSERS sio Ndio?

Mgongwe tuu 😆
 
Yanga atashinda sawa lakin hafuzu kuingia makundi

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Malengo ya yanga na azam ni kuifunga simba.

Ktk hilo wameshafanikiwa ila huko kimataifa hawana tofauti na mwenge unaoangaza vijijini tu na kamwe hata burundi mipakani hauwezi fika
 
Malengo ya yanga na azam ni kuifunga simba.

Ktk hilo wameshafanikiwa ila huko kimataifa hawana tofauti na mwenge unaoangaza vijijini tu na kamwe hata burundi mipakani hauwezi fika
Uko kwenye uongozi kujua malengo ya klabu Fulani?
 
Malengo ya yanga na azam ni kuifunga simba.

Ktk hilo wameshafanikiwa ila huko kimataifa hawana tofauti na mwenge unaoangaza vijijini tu na kamwe hata burundi mipakani hauwezi fika
Lengo ni kumfunga yoyote tunae kutana nae akiwemo Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…