CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
sina mengi ,
Tayari tarehe mbili Imefika naamini Kabisa Ile Nguvu Yanga wanayotumia wakikutana na Simba,
Wakiitumia angalau nusu yake tu basi wanaingia makundi!
Kama Kuna ahadi , au mambo yanafanyika yanga inapoelekea kucheza na simba basi yakifanyika nusu yake tu,
Game inaisha Kwa mkapa!
Ingawa naamini Kabisa mechi kubwa Kwa Yanga ni kucheza na simba tu!
Sidhani kama huku kimataifa watatia bidii
Kwanza hili ni Kombe la LOSERS sio Ndio?
Mgongwe tuu 😆
Tayari tarehe mbili Imefika naamini Kabisa Ile Nguvu Yanga wanayotumia wakikutana na Simba,
Wakiitumia angalau nusu yake tu basi wanaingia makundi!
Kama Kuna ahadi , au mambo yanafanyika yanga inapoelekea kucheza na simba basi yakifanyika nusu yake tu,
Game inaisha Kwa mkapa!
Ingawa naamini Kabisa mechi kubwa Kwa Yanga ni kucheza na simba tu!
Sidhani kama huku kimataifa watatia bidii
Kwanza hili ni Kombe la LOSERS sio Ndio?
Mgongwe tuu 😆