Yanga wameitwa kesho TFF watawakilishwa na Senzo stay tuned

Yanga wameitwa kesho TFF watawakilishwa na Senzo stay tuned

Sio wamemteua Senzo, Senzo anaenda TFF kwa mujibu wa nafasi yake kama mtendaji mkuu wa Yanga. Ni vema pia ijulikane kuwa Senzo hawezi kugeuza mkataba wa Morrison na Simba kama ni halali, pia hawezi kugeuza mkataba wa Yanga kuwa halali ikiwa ulikuwa feki.

Yanga wanaitwa TFF kwa kuwa wao wanalalamikiwa na Morrison, na kisheria huwezi kutoa hukumu bila kumsikiliza mtuhumiwa.

Vv

Vv
Sheria za kazi unazifahamu au?. Na haswa kwa wagen?

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Senzo anawakilisha Yanga TFF kama nani? Ana vibali vya kufanyia kazi kutoka Yanga?

Jamaa hana weredi kabisa,kazima ili iweje?
 
Back
Top Bottom