Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Kama ingekuwa hivyo alivyowaza huyo Mkuu uliyemjibu basi kusingekuwa na fursa ya kukata rufaa.Usijifanye mjuaji ndo shida ya wabongo hii mpaka ya huko FIFA unayajua kwamba wataamua nini.?
Acha FIFA waamue tujue mbivu na mbichi hatuwezi kutapeliwa kizembe
Hujajibu swali
Walipeleka ile mwanzo kwa mkataba ule wa miezi 6 sasa umeshaexpire na wanao upload majina ni Tff hivyo hoja ya Yanga haina mashiko wanawatuliza wana utupolo, ilihali jina la wakili msomi wa uwanjani Morrison jina simba imeshalipeleka....Logically, hakuna uwezekano wa team kupeleka majina yake ya usajili FIFA au CAF bila kuidhinishwa na TFF.
Na kwa maamuzi aliyoyatoa TFF, there is no way akatoa recommendation ya usajili wenye jina ambalo siyo la mchezaji wa Yanga.
Labda kuna utaratibu mpya.
nilisema anaudhi kutokana na post niliyo quote yenye post ya BM akisema wanajisumbua. All in all Yanga wanapoteza muda wa bure. Wangeendelea na maisha yao wakamuacha BM akaendelea na maisha yake. Bahati nzuri hakuna aliyeliwa hela,BM alishema alimtaka manager wa CBA arudishe hela kwa aliyeingiza kwenye akaunt yeye hazitambuiTurudi ktk mada mkuu, shida hasa ya jamaa Morison ni ipi? Na je Yanga wapo sahihi kuandika hili jina huko Fifa?
Wabongo ndo tulivyo anajikuta anajua kuliko hao FIFAKama ingekuwa hivyo alivyowaza huyo Mkuu uliyemjibu basi kusingekuwa na fursa ya kukata rufaa.
Hapo ndipo ufinyu wa mawazo wa msimu Dr Msolla,unapojidhihirisha walisema wanakata rufaa ktk mahakama ya michezo(CAS).Inakuwaje leo akaliingiza kwenye system ,wakati bado hawajakata rufaaa,au wameamua kuwahadaaa wanachama namashabiki wao wa UtOPoLo?au ndiyo yale Yale aliyosema dj Luc?
Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Dkt. Mshindo Msolla amethibitisha kuwa wameliingiza jina la kiungo mshambuliaji Bernard Morrison katika mfumo wa usajili wa wachezaji wa klabu hiyo (Transfer Matching system) na wamepeleka katika Shirikisho la soka la Barani Afrika na Shirikisho la soka la Dunia (FIFA).
Msolla amesema kuwa Kiungo huyo ni Mchezaji wao halali na hukumu iliyotolewa na Kamati ya (TFF) haina Uhalali wowote.
Msola amesema Jumatatu watatuma shauri la mchezaji huyo shirikisho la soka Duniani FIFA na ikiwa shirikisho hilo litamuidhinisha kuwa ni mchezaji wa Yanga, basi itawalazimu Simba waende mezani wakamalizane nao.
Orodha ya wachezaji wa Kigeni yaliyoingizwa katika mfumo wa TMS: Farouk Shikalo, Mukoko Tonombe, Michael Sarpong, Tuisila Kisinda, Haruna Niyonzima, Lamine Moro, Yacouba Sogne, Carlinhos Carmo na Bernard Morrison.
HII TAARIFA MNAONAJE?
Logically, hakuna uwezekano wa team kupeleka majina yake ya usajili FIFA au CAF bila kuidhinishwa na TFF.
Na kwa maamuzi aliyoyatoa TFF, there is no way akatoa recommendation ya usajili wenye jina ambalo siyo la mchezaji wa Yanga.
Labda kuna utaratibu mpya.
Kwangu ilishaisha hii Mtani.