Yanga wameonesha ubinafsi na ukosefu wa ustaarabu wa hali ya juu sana

Yanga wameonesha ubinafsi na ukosefu wa ustaarabu wa hali ya juu sana

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
 
All problems kwa Bi Mkubwa. Angekuwa JPM angepiga simu laivu papohapo uwanjani. ^Sikia, wananchi wametoa pesa zao, muda na nguvu kuja kuwashangilia na kupata burudani. Sasa lazima mechi ichezwe kwa muda uliopangwa. Otherwise, chagueni kuwarudishia pesa zao na kuwafidia KIKAMILIFU mali, muda na usumbufu mliowasababishia --- mpaka na yule shabiki aliyekimbia kwa miguu kutoka Kigoma, tena akaugua tumbo Morogoro kwa sababu yenu!!!^ ~ In JPM's stentorian voice.

Sijajua wanasheria wako wapi!? Kwanini wasiwafungulie hawa mabwanyenye kesi ya uhujumu uchumi!? Na ulaghai? Kazi yao kuwatetea wezi tuuu, siyo! Siku zenu zinahesabika!
 
Ni kanuni gani watayoitumia tff? Maana yanga nao wametumia kanuni yao.
Kanuni ya Ustaraabu, busara na hekima. Hivyo fikiria yule shabiki wa Yanga aliyetoka Kigoma kwa miguu halafu asione kilichomleta?
 
All problems kwa Bi Mkubwa. Angekuwa JPM angepiga simu laivu papohapo uwanjani. ^Sikia, wananchi wametoa pesa zao, muda na nguvu kuja kuwashangilia na kupata burudani. Sasa lazima mechi ichezwe kwa muda uliopangwa. Otherwise, chagueni kuwafidia KIKAMILIFU --- mpaka na yule shabiki aliyekimbia kwa miguu kutoka Kigoma, tena akaugua tumbo Morogoro kwa sababu yenu!!!^ ~ In JPM's stentorian voice.
Yanga walipaswa kufikiria hili ila wao badala ya kufikria wanawaza kumkomoa Karia na ati TFF wamejaa Simba tu- wamesau juzi tu katoka Maliza hapo. HOVYO
 
Yanga kwa sababu ya kuwakomoa TFF wameamua kujificha nyuma ya kanuni kususia mchezo wao wa 08.05.2021 na watani wao simba. kitendo hiki si cha kistaraabu hata kidogo na sijui wanatarajia kufaidika na nini. Hivi TFF wakiamua kuishi kwa kanuni Yanga itabaki kweli?
TFF wenyewe wameomba radh na wametoa maagizo kwa bodi

Wewe nani?

Yanga wapo sahihi. Namm mwanasimba, nmewaunga mkono
 
Yanga walipaswa kufikiria hili ila wao badala ya kufikria wanawaza kumkomoa Karia na ati TFF wamejaa Simba tu- wamesau juzi tu katoka Maliza hapo. HOVYO


Kosa la Yanga FC liko wapi!??? Pls nieleweshe tafadhali. Nijibu pia: Kulikuwa na sababu gani ya msingi mechi kuahirishwa!???
 
Yanga walipaswa kufikiria hili ila wao badala ya kufikria wanawaza kumkomoa Karia na ati TFF wamejaa Simba tu- wamesau juzi tu katoka Maliza hapo. HOVYO
Ungeanza kuwalaumu TFF wanaotumia kanuni kuwafuwafungia na kuwakomoa viongozi wa Yanga.
Kifupi TFF haina mahusiano mazuri na Yanga, so usitegemee uungwana wowote inreturn...TFF kaingia mwenyewe cha kike, ajisahishe na ku take responsibility ktk hili.
 
All problems kwa Bi Mkubwa. Angekuwa JPM angepiga simu laivu papohapo uwanjani. ^Sikia, wananchi wametoa pesa zao, muda na nguvu kuja kuwashangilia na kupata burudani. Sasa lazima mechi ichezwe kwa muda uliopangwa. Otherwise, chagueni kuwarudishia pesa zao na kuwafidia KIKAMILIFU mali, muda na usumbufu mliowasababishia --- mpaka na yule shabiki aliyekimbia kwa miguu kutoka Kigoma, tena akaugua tumbo Morogoro kwa sababu yenu!!!^ ~ In JPM's stentorian voice.

Sijajua wanasheria wako wapi!??? Kwa nini wasiwafungulie hawa mabwanyenye kesi ya uhujumu uchumi!??? Na ulaghai!??? Kazi yao kuwatetea wezi tuuu, siyo!??? Siku zenu zinahesabika!!!
true mkuu, nina uhakika kabisa mechi hiyo ingechezwa. JPM angepiga cm moja kwa moja kwa viongozi wote na hiyo mechi hata saa 2 ingechezwa
 
All problems kwa Bi Mkubwa. Angekuwa JPM angepiga simu laivu papohapo uwanjani. ^Sikia, wananchi wametoa pesa zao, muda na nguvu kuja kuwashangilia na kupata burudani. Sasa lazima mechi ichezwe kwa muda uliopangwa. Otherwise, chagueni kuwarudishia pesa zao na kuwafidia KIKAMILIFU mali, muda na usumbufu mliowasababishia --- mpaka na yule shabiki aliyekimbia kwa miguu kutoka Kigoma, tena akaugua tumbo Morogoro kwa sababu yenu!!!^ ~ In JPM's stentorian voice.

Sijajua wanasheria wako wapi!??? Kwa nini wasiwafungulie hawa mabwanyenye kesi ya uhujumu uchumi!??? Na ulaghai!??? Kazi yao kuwatetea wezi tuuu, siyo!??? Siku zenu zinahesabika!!!
Kwanini JPM hakuwapigia simu hiyo jana? Nani alimzuia? Wewe baki kulalamika, sisi ni mbele kwa mbele na Rais SSH.
 
true mkuu, nina uhakika kabisa mechi hiyo ingechezwa. JPM angepiga cm moja kwa moja kwa viongozi wote na hiyo mechi hata saa 2 ingechezwa


Kwanza wasingethubutu kutamper na ratiba hiyo kipuuzi hivyo!!! If we say we have no leader now, some poor souls become very mad. Haidhuru, tutazidi kuwaeleza always hadi akili ziwakae kumkichwa.
 
Kwanini JPM hakuwapigia simu hiyo jana? Nani alimzuia? Wewe baki kulalamika, sisi ni mbele kwa mbele na Rais SSH.


Unataka jibu, siyo!??? Tunza komenti yako, hivi punde tu, siku si nyingi muda wenyewe utakujibu vilivyo. ^Why kuandikia mate na wino ungalipo!???^ walisema wahenga.
 
nchi ya kishamba hii

nawapa bigup yanga sc kwa kuwajali washabiki wa mpira.
 
TFF wenyewe wameomba radh na wametoa maagizo kwa bodi

Wewe nani ???


Yanga wapo sahihi. Namm mwanasimba, nmewaunga mkono
Kwa vile TFF wameomba radhi kwa hiyo Yanga imepata point ngapi? TFF wamefanya hivyo kwa sababu ni wastaraabu ila wasiowastaarabu kama Yanga hawajamuomba radhi hata yule Mkazi wa Kigoma aliyekuja kwa miguu.
 
Yanga hawana kosa,, wenye kosa ni wale wanataka kila kitu wasikilizwe wao,,
Sana yanga kwa msimamo,, kwa ajilili ya kuzindua kitabu chenu mnaleta na vitu vya ajabu sana,,,
 
Back
Top Bottom