Yanga wameonesha ubinafsi na ukosefu wa ustaarabu wa hali ya juu sana

on any direction, wakulaumiwa ni serikali haswa waziri alietoa tamko na TFF wakalifuata,
Lawama ni kwa TFF! serikali iliomba muda usogezwe mbele. TFF wangesema haiwezekani kikanuni!! Vinginevyo serikali iombe moja kwa moja kwa timu za simba na yanga. !
 
Lini umeshawahi kuona Rais wa nchi anaingilia kwenye mambo kama haya? Tunaye Rais mzuri anayeshughulika na maendeleo ya nchi,sio uhuni wa TFF.
Kwanza wasingethubutu kutamper na ratiba hiyo kipuuzi hivyo!!! If we say we have no leader now, some poor souls become very mad. Haidhuru, tutazidi kuwaeleza always hadi akili ziwakae kumkichwa.
 
Kwa vile TFF wameomba radhi kwa hiyo Yanga imepata point ngapi? TFF wamefanya hivyo kwa sababu ni wastaraabu ila wasiowastaarabu kama Yanga hawajamuomba radhi hata yule Mkazi wa Kigoma aliyekuja kwa miguu.
Yanga wana kosa gani hadi waombe msamaha!? Tangu saa 9.30 jana walikuwa uwanjani!
 
Yanga wanashindwa kuwafikiria hata Mashabiki waliotoka mikoani, watu wamelipia nauli, hela ya gesti/hotel etc lakini Yanga hawakujali hilo. Yanga wanadhani wamewakomoa tu TFF, hawajui kwamba hata Mashabiki wao nao wamekomolewa kwa utoto wao.
Sisi mashabiki wa Yanga tumeridhishwa na maamuzi ya viongozi wetu! Wameonesha kuzifahamu kanuni zinazoendesha soka nchini! Sijui kinachowauma mbumbumbu ni nini?
 
Mshaambiwa Mama Samia nae alitaka kuja uwanjani kuona mpira na kuzindua kitabu cha Rais mstaafu.

Mama alikuwa anasubiri mida ya kufturu kisha aje uwanjani hivyo mahusiano mabaya ya viongozi wa Yanga na TFF ndio yamesababisha kukosekana kwa Busara.

Hasira za Viongozi wa Yanga zilianzia kwenye inshu ya Bernad Morson hadi kufungiwa kwa Afisa Habari na Makamu mwenyekiti Mwakalebela hivyo jana walivyoona kanuni imeumana wakakinukisha.

Walioumia ni mashabiki ambao wameshinda uwanjani tangu asubuhi na kupoteza fedha zao za nauli na kiingilio.
 
Yanga wana kosa gani hadi waombe msamaha!? Tangu saa 9.30 jana walikuwa uwanjani!
BAKINI HIVYO HIVYO MUNGU ANAWAONA NA HAMTAPATA UBINGWA
 
Kanuni zimewekwa kwanini kama hamuwezi kuzifuata? Anaejua kwanini game ilisogezwa mbele atujulishe tafadhali
Mkuu soma hiyo kanuni ambayo Yanga yako imeweka kipanda tu ili kuficha ukweli


 
Sisi mashabiki wa Yanga tumeridhishwa na maamuzi ya viongozi wetu! Wameonesha kuzifahamu kanuni zinazoendesha soka nchini! Sijui kinachowauma mbumbumbu ni nini?
Simba kam Simba walikua tayari kucheza muda wowote. Shida mpira sio wa wachezaji tu, kuna mashabiki pia. Maamuzi yoyote yenye busara yangewafikiria na hao mashabiki.
 
Uko serious kweli wewe?

Katika scenario ya juzi ni nani kasusia mchezo?

Ratiba imepangwa muda mrefu. Watu wakasafiri maili nyingi toka sehemu mbalimbali hapa nchini...

Wakaingia uwanjani wengine saa 7, wengine saa 8, wengine saa 9, wengine saa 10 nk kwa ajili ya mchezo (game) iliyopangwa kuchezwa saa 11 jioni....

Yanga SC wakaingia uwanjani "ON TIME". Simba S.C wakaingia kwa kuchelewa saa 1:00 jioni...

Katika mazingira haya nani kafanya makosa? Timu gani iliwaheshimu na kuwajali mashabiki wa soka waliofika na kujazana uwanjani mapema kabisa..?

Under any circumstances, kulikuwa na busara gani kwa kuchukua maamuzi ya ghafla kuuchelewesha mchezo kwa masaa 3 zaidi nje ya muda uliopangwa siku nyingi zilizopita?
 
Sheria na katiba za vilabu zote zinasema "tutatii maamuzi ya TFF, CAF na FIFA. Hilo ni jambo kubwa kuliko kanuni. Na kama yanga waliambiwa ni kwa sababu ya shughuli ya kitaifa kwanini wagome? Walichofanya Timu yangu ni very unprofessional. Timu yoyote makini huwa inatazama maslahi ya mashabiki kwanza na fair play kuliko visasi au chuki.
 
Taarifa ya kusogeza mbele muda haikutaja sababu yoyote ile! Basi TFF waipe Simba ushindi kama Yanga walisusia mchezo!
 
Taarifa ya kusogeza mbele muda haikutaja sababu yoyote ile! Basi TFF waipe Simba ushindi kama Yanga walisusia mchezo!
Taarifa ambayo klabu walipewa ilionyesha sababu ila Taarifa kwa umma ndio haikutaja sababu. Simba haiwezi kupewa point 3 kwa vile hakuna taratibu za mchezo zilizofanyika.
 
Yanga waliogopa kipigo cha mbwa koko, wakaamua kujinufaisha kwa makosa ya TFF bila kufikiri juu ya mashabiki waliopoteza pesa zao kuja kutazama mechi. Uto bado waswahili sana wale. Watajutia hili
 
Yanga kama CHADEMA wakiambia kiyu wasifanye wao wanaenda kinyume- wanaonyesha UGANGWE.
 
 
Watu mkizoea kutawaliwa kibabe kwa muda mrefu hata siku mkipata uhuru mnaweza kugoma na kuukataa uhuru wenu mliopewa

Hii tendency ya watu kuona ni kawaida tu kanuni na sheria kuvunjww BILA SABABU lazima ukomeshwe. Yanga inapaswa kupongezwa kwa kuukata huu ujinga
 
mkuu sio masaa 24 pace ni ANGALAU!!!

Kubadili muda ni masaa 24 kabla ya mechi, na mazingira maalum yanaweza kubadili, je jana kulikuwa na mazingira gani maalum ya kusogeza muda wa mechi hiyo jana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…