Yanga wamesajili mafia

Yanga wamesajili mafia

Huko Jangwani kasajiliwa Mchezaji Mghana Bernad Morrison aliyewahi kuchezea Orlando Pirates chini ya Kocha Micho. Kinachoongelewa zaidi ni tabia za Mchezaji huyo kuwahi kushiriki matukio ya kihalifu alipokuwa Afrika kusini ikiwemo kukamatwa na Magari ya Wizi hatua iliyofanya awekwe Korokoroni huko bondeni hatua iliyoifedhehesha timu yake na hatimaye kumpiga chini.

Sasa huyo Kibaka baada ya kukosa timu kwa muda mreefu kwa tabia zake hizo za Udokozi katua kwenye Vyura FC. Sina budi kumkumbusha Kamanda Mambo sasa kuanza kufuatilia vema mtandao wa huyu jamaa kabla mabaya hayajatokea kwa Watanzania Wapenda amani. Jasiri haachi asili, Shetani haji kuwa malaika.
View attachment 1324163
Nilijuaa una KAELIMU KADOGO
NAOMBA SEHEMU YA HUKUMU YA KESI YAKE
KUWA ARRESTED HATA MKEO ANAWEZA BAMBIKIWA KABAKA DO U KNOW THIS??
USIMHUKUMU MTU KABLA AJAHUKUMIWA...
LAST WARNING
 
Si amekamatwa (arrested) tu? Bila ya shaka kama angefungwa kabisa usingeshindwa kuwasilisha. Sasa kumbuka kuwa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 1982 alikuwa mfungwa kabisa. Alitolewa gerezani baada ya mwalimu wa Timu ya Taifa, Bruno Conti, kulalamika kwamba hana matumaini ya timu kufanya vizuri bila ya Rossi. Iambie na dunia basi kuhusu hilo.
BWEGE HUYU ANAULIZWA HUKUMU ANAJIBU UHAROO
 
TOKA WAFUNGWE KILAMMTU MAFIA
YANGA MAFIA
NAHUYU MCHEZAJI NAE MAFIA AISEE
MAFIOSOSTO
 
TOKA WAFUNGWE KILAMMTU MAFIA
YANGA MAFIA
NAHUYU MCHEZAJI NAE MAFIA AISEE
MAFIOSOSTO
Mkuuu tuleteee matokeo ya Vyura na Kagera. Naskia mnaleta huyo kibaka ili awe anaiba magoli na timu pinzani na kuyaleta Jangwani
 
Huko Jangwani kasajiliwa Mchezaji Mghana Bernad Morrison aliyewahi kuchezea Orlando Pirates chini ya Kocha Micho. Kinachoongelewa zaidi ni tabia za Mchezaji huyo kuwahi kushiriki matukio ya kihalifu alipokuwa Afrika kusini ikiwemo kukamatwa na Magari ya Wizi hatua iliyofanya awekwe Korokoroni huko bondeni hatua iliyoifedhehesha timu yake na hatimaye kumpiga chini.

Sasa huyo Kibaka baada ya kukosa timu kwa muda mreefu kwa tabia zake hizo za Udokozi katua kwenye Vyura FC. Sina budi kumkumbusha Kamanda Mambo sasa kuanza kufuatilia vema mtandao wa huyu jamaa kabla mabaya hayajatokea kwa Watanzania Wapenda amani. Jasiri haachi asili, Shetani haji kuwa malaika.
View attachment 1324163
Wezi wa matikiti wanasajili mwizi wa magari?? Wezi FC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu yake ilikaa meza moja na aliyekuwa amefanyiwa Uhalifu wa kuibiwa Gari na Fedha, akalipwa chake akaenda Mahakamani kuiondoa kesi. Lkn huyu mchezaji na genge lake walipigwa ban huko South baada ya hii kesi kumalizwa kibabe au kimjini mjini.
Ungekua unakijua kizulu ningekupa Charts za Mashabiki wa Pirate baada ya hili tukio ungenielewa. Nimeleta kama tahadhari kwetu sote na sio Ushabiki, ni kitu cha kweli kimetokea.
Soma mtandao wa soka wa SA www.soccerladuma.co.za
tafuta huu mkasa wake utaupata kwa kina.
Sasa Bongo aibe mitumba ya kijapani mileage 300,000 km ???South Africa wageni wote wezi tu na drug dealers
 
Huko Jangwani kasajiliwa Mchezaji Mghana Bernad Morrison aliyewahi kuchezea Orlando Pirates chini ya Kocha Micho. Kinachoongelewa zaidi ni tabia za Mchezaji huyo kuwahi kushiriki matukio ya kihalifu alipokuwa Afrika kusini ikiwemo kukamatwa na Magari ya Wizi hatua iliyofanya awekwe Korokoroni huko bondeni hatua iliyoifedhehesha timu yake na hatimaye kumpiga chini.

Sasa huyo Kibaka baada ya kukosa timu kwa muda mreefu kwa tabia zake hizo za Udokozi katua kwenye Vyura FC. Sina budi kumkumbusha Kamanda Mambo sasa kuanza kufuatilia vema mtandao wa huyu jamaa kabla mabaya hayajatokea kwa Watanzania Wapenda amani. Jasiri haachi asili, Shetani haji kuwa malaika.
View attachment 1324163
Tatizo la mbumbumbu ni kudandia treni kwa mbele.

Mnafukunyua ya Morrison na kusahau yule mchezaji wenu kibaka aliyeiba gari la jeshi. Mnasahau mbwajaji wenu tapeli na mwizi wa magari.
 
Yanga ikae makini na huyu msela, wakimzingua mshahara wake tu atasepa na basi lile la timu hata kama ni mchuzi juu
 
Yanga ikae makini na huyu msela, wakimzingua mshahara wake tu atasepa na basi lile la timu hata kama ni mchuzi juu
Yaaani hilo siyo la kuuuliza ni suala la muda tu.
 
Hans Pop ( Makofia) na uhaini dhidi ya serikali ya Mwalimu! Kina Hasanol, Rage, Kabulu, Aveva na huyu Mlopokaji wao wote ni makonk ya uhalifu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja akwapue pochi la Nugaz a.k.a mzee wa clean sheet ndio wataelewa vizuri
 
Si amekamatwa (arrested) tu? Bila ya shaka kama angefungwa kabisa usingeshindwa kuwasilisha. Sasa kumbuka kuwa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 1982 alikuwa mfungwa kabisa. Alitolewa gerezani baada ya mwalimu wa Timu ya Taifa, Bruno Conti, kulalamika kwamba hana matumaini ya timu kufanya vizuri bila ya Rossi. Iambie na dunia basi kuhusu hilo.
Yes, ni kweli huyu Paulo Rossi alishitakiwa mwaka1982 akituhumiwa kujihusisha ktk "Betting Scandal" na akaombewa ruhusa maalum atoke jela ili akatumikie taifa lake, Italy kwenye World Cup mwaka huo kule nchini Spain.

Ktk mashindano hayo Rossi aliibuka mfungaji bora na hivyo kufanya Italy itwae kombe kwa kuinyuka West Germany 3-1 ktk fainali ambapo Rossi alifunga moja kati ya hayo mabau.

Na baada ya hapo ndio akawa amepewa "Amnesty" na hakurejea tena gerezani. Nakumbuka kuna kampuni moja ya kutengeneza viatu cha huko Italy pia ilimzawadia offer ya kupewa viatu vya kuvaa kwa maisha yake yote.
 
Amebadilika anatupa raha jangwani
Huko Jangwani kasajiliwa Mchezaji Mghana Bernad Morrison aliyewahi kuchezea Orlando Pirates chini ya Kocha Micho. Kinachoongelewa zaidi ni tabia za Mchezaji huyo kuwahi kushiriki matukio ya kihalifu alipokuwa Afrika kusini ikiwemo kukamatwa na Magari ya Wizi hatua iliyofanya awekwe Korokoroni huko bondeni hatua iliyoifedhehesha timu yake na hatimaye kumpiga chini.

Sasa huyo Kibaka baada ya kukosa timu kwa muda mreefu kwa tabia zake hizo za Udokozi katua kwenye Vyura FC. Sina budi kumkumbusha Kamanda Mambo sasa kuanza kufuatilia vema mtandao wa huyu jamaa kabla mabaya hayajatokea kwa Watanzania Wapenda amani. Jasiri haachi asili, Shetani haji kuwa malaika.
View attachment 1324163

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom