BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Nilijuaa una KAELIMU KADOGOHuko Jangwani kasajiliwa Mchezaji Mghana Bernad Morrison aliyewahi kuchezea Orlando Pirates chini ya Kocha Micho. Kinachoongelewa zaidi ni tabia za Mchezaji huyo kuwahi kushiriki matukio ya kihalifu alipokuwa Afrika kusini ikiwemo kukamatwa na Magari ya Wizi hatua iliyofanya awekwe Korokoroni huko bondeni hatua iliyoifedhehesha timu yake na hatimaye kumpiga chini.
Sasa huyo Kibaka baada ya kukosa timu kwa muda mreefu kwa tabia zake hizo za Udokozi katua kwenye Vyura FC. Sina budi kumkumbusha Kamanda Mambo sasa kuanza kufuatilia vema mtandao wa huyu jamaa kabla mabaya hayajatokea kwa Watanzania Wapenda amani. Jasiri haachi asili, Shetani haji kuwa malaika.
View attachment 1324163
NAOMBA SEHEMU YA HUKUMU YA KESI YAKE
KUWA ARRESTED HATA MKEO ANAWEZA BAMBIKIWA KABAKA DO U KNOW THIS??
USIMHUKUMU MTU KABLA AJAHUKUMIWA...
LAST WARNING