Yanga wametangaza nafasi za kazi lakini

Yanga wametangaza kazi sehemu mbalimbali lakini mpaka uwe na kadi ya uanachama.

Kazi za Professional mpaka uwe na kadi???! Eg. Daktari kuna ulazima gani awe na kadi!
Hiyo ni taasisi na kila taasis ina taratibu na tamaduni zake

Hongera Yanga kwa kutangaza fursa za ajira kwa wanachama wake
 
Yanga wapo sahihi kwa 100% Kama wewe ni simba kaombe kazi simba Kama wewe ni namungo kaombe kazi namungo

Mbona hamwasemi ccm na chadema kupeana kazi kwa kadi za uwanachama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…