Yanga wamewaletea wana-Simba wawaone wachezaji wao

Yanga wamewaletea wana-Simba wawaone wachezaji wao

Ni siku ya mwananchi ni Yanga sc vs Viperz ya Uganda, ambapo Viperz kuna wachezaji wa 2 ambao simba imewanyakua yaani Manzoki na Bobosi .

Yanga hawaku changa karata zao vizuri ktk hili ...ni wazi Manzoki anaweza akaambiwa na mwajiri wake mpya (simba Sc) acheze kiwango cha chini ili asipate majeraha.

Yanga hapa hamjafanya Byuti Byuti
Dalili za kuingiwa na mchecheto hizi juu ya huyo Manzoki! Tangu lini mchezaji wa mpira akaambiwa acheze chini ya kiwango, halafu kirahisi tu akakubali!
 
Dalili za kuingiwa na mchecheto hizi juu ya huyo Manzoki! Tangu lini mchezaji wa mpira akaambiwa acheze chini ya kiwango, halafu kirahisi tu akakubali!
Mmesahau Ben kichaa tulivyokuwa tuna mchezesha wakati mpo nae..tulikuwa tuna mtuma tu leo gomea mazoezi ..anagomea, leo usiende kambini kweli haendiii ....ukisha pewa kisha uchumba inakuwa shidaaa
 
Back
Top Bottom