Yanga wamewaletea wana-Simba wawaone wachezaji wao

Dalili za kuingiwa na mchecheto hizi juu ya huyo Manzoki! Tangu lini mchezaji wa mpira akaambiwa acheze chini ya kiwango, halafu kirahisi tu akakubali!
 
Dalili za kuingiwa na mchecheto hizi juu ya huyo Manzoki! Tangu lini mchezaji wa mpira akaambiwa acheze chini ya kiwango, halafu kirahisi tu akakubali!
Mmesahau Ben kichaa tulivyokuwa tuna mchezesha wakati mpo nae..tulikuwa tuna mtuma tu leo gomea mazoezi ..anagomea, leo usiende kambini kweli haendiii ....ukisha pewa kisha uchumba inakuwa shidaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…