Tetesi: Yanga wamgeukia Zimbwe Jr

Tetesi: Yanga wamgeukia Zimbwe Jr

Research Consultant

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
453
Reaction score
772
Za ndaaaaaani kabisa,

#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.

Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.

Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
 
Za ndaaaaaani kabisa,

#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.

Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.

Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
huu ni uongo
 
Yaani Yanga Sasa imeanza kuangaika na vibabu? Yanga kwasasa hawana Tatizo lolote la Beki wa pembeni Sasa mtafutieni timu na habari zenu za kutafutiana michongo.
 
Za ndaaaaaani kabisa,

#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.

Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.

Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
Toa sababu moja kwanini tukuamini kwenye hili
 
Za ndaaaaaani kabisa,

#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.

Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.

Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
Watu huwa mnaanzisha uzi kama vile mnauaga mwaka mnataka kufa sasa zimbwe kimataifa atawasadia vipi wakati ameshacheza simba
 
Yaani Yanga Sasa imeanza kuangaika na vibabu,? Yanga kwasasa hawana Tatizo lolote la Beki wa pembeni Sasa mtafutieni timu na habari zenu za kutafutiana michongo.
Hii ni Tetesi, lolote laweza kutokea
 
Back
Top Bottom