Tetesi: Yanga wamgeukia Zimbwe Jr

Tetesi: Yanga wamgeukia Zimbwe Jr

Mnataka mkamlipe aftatu kama feisal
 
Kama ataenda kulipwa pesa nzuri zimbwe aende tu.

Kwa sasa ni beki bora wa kushoto hapa bongo (according to me).
Masahihisho:
Beki bora wa kushoto bongo ni Lomalisa, midfielder bora Aziz Ki, beki bora wa kati ni Dickson Job, mshambuliaji bora Mayele na kipa bora Diarra, wapeni zawadi zao ligi ishaisha utopolo huwa tunabeba kombe kwa gepu la pointi 6
 
Feisal tuu mmeshindwa kumuongeza mshahara, au hii ndio mbinu viongozi wa kinyesi fc wanatumia kuwa pumbaza mashabiki zao sababu Kila mchezaji wanamtaka, acheni mba mba nyingi
 
Masahihisho:
Beki bora wa kushoto bongo ni Lomalisa, midfielder bora Aziz Ki, beki bora wa kati ni Dickson Job, mshambuliaji bora Mayele na kipa bora Diarra, wapeni zawadi zao ligi ishaisha utopolo huwa tunabeba kombe kwa gepu la pointi 6
aya sawa.
 
Za ndaaaaaani kabisa,

#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.

Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.

Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
Hiyo taka taka ibaki huko huko.
 
Back
Top Bottom