Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masahihisho:Kama ataenda kulipwa pesa nzuri zimbwe aende tu.
Kwa sasa ni beki bora wa kushoto hapa bongo (according to me).
Mambo mengine bwana, sasa wanajiandikia upuuzi tu kwa kuwa kila mtu ana uhuru wa kuandika.Hii ni Tetesi, lolote laweza kutokea
Mashindano ya kirafiki.😂😂😂Mashindan yapi ya kimataifa wakati jina la zimbwe liko CAF kupitia simba? Labda mwakani
Umeamua ujitekenye mcheza uchi fc
aya sawa.Masahihisho:
Beki bora wa kushoto bongo ni Lomalisa, midfielder bora Aziz Ki, beki bora wa kati ni Dickson Job, mshambuliaji bora Mayele na kipa bora Diarra, wapeni zawadi zao ligi ishaisha utopolo huwa tunabeba kombe kwa gepu la pointi 6
Hiyo taka taka ibaki huko huko.Za ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.
Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
SawaHujaelewa kauli yangu
Kichwani empty