Research Consultant
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 453
- 772
- Thread starter
- #21
Hana bayaHata akienda na aende tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana bayaHata akienda na aende tu
Makasiriko ya nini sasaUbwege ubwegeni….
Mkataba wa yanga na Lomalisa ulikuwa ni wa miez sita na umeisha. Mwamba kagoma kuongeza mkataba coz kapata dili nono al hilal ya SudanToa sababu moja kwanini tukuamini kwenye hili
Wananchi wanamuhitaji Lomalisa anaondokaWatu huwa mnaanzisha uzi kama vile mnauaga mwaka mnataka kufa sasa zimbwe kimataifa atawasadia vipi wakati ameshacheza simba
Acha Makasiriko MkuuUtopolo bado wana hasira na Simba SC, kwasababu ya ujinga wao wa kuweka vipengele kwenye mikataba na wachezaji wao vinavyowabana wenyewe.
Muda utaongeaWatu huwa mnaanzisha uzi kama vile mnauaga mwaka mnataka kufa sasa zimbwe kimataifa atawasadia vipi wakati ameshacheza simba
Wa wenzako ni UWONGO! Ila UWONGO wako wewe ndiyo ukweli!!!UWONGO
Hata sisi kwa Fei tuliyasema haya huku mioyoni mwetu tuna maumivu mbaya.Hata akienda na aende tu
Bro Tetesi lazima ziwepo kuleta utamu na kunogesha pira birianiHivi nyie watu wa mitandaoni mnapata faida gani kuwachonganisha wachezaji na mashabiki wao? Kwanini msiwe mnasubiri taarifa rasmi zitoke?
Za ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.
Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
Yetu machoUkikaa ukikosa cha kufanya unatafuta ujinga unaandika
Jina kipya linalotamba sasa baada ya Ile kideo ya uchi iliiotengenezwa na ali james kuvujaAiseeee 😂 Mcheza Uchi tena?
😂😂😂Jina kipya linalotamba sasa baada ya Ile kideo ya uchi iliiotengenezwa na ali james kuvuja