Research Consultant
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 453
- 772
huu ni uongoZa ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.
Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
Toa sababu moja kwanini tukuamini kwenye hiliZa ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.
Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣Unamuumbua MnoMashindan yapi ya kimataifa wakati jina la zimbwe liko CAF kupitia simba? Labda mwakani
Umeamua ujitekenye mcheza uchi fc
Watu huwa mnaanzisha uzi kama vile mnauaga mwaka mnataka kufa sasa zimbwe kimataifa atawasadia vipi wakati ameshacheza simbaZa ndaaaaaani kabisa,
#TETESI Yanga wamempa Million 400 Beki wa Simba Mohamed Hussein ''Zimbwe Jr'' ili aweze kujiunga na Yanga katika kipindi hiki.
Taarifa zaidi inasema kwamba Yanga wanataka kuendelea kuboresha timu yao kwenye michuano ya kimataifa kwa kuendelea kutafuta wachezaji wenye uzoefu na mashindano ya kimataifa.
Mohamed Hussein yupo tayari kuondoka kama taratibu zote za uhamisho zitafuatwa ingawa mwenyewe anasema kwamba ofa ambayo epewa na yanga ni kubwa na ni nzuri kwake.
IQ kubwa Sana hiiKama ataenda kulipwa pesa nzuri zimbwe aende tu.
Kwa sasa ni beki bora wa kushoto hapa bongo (according to me).
Unabishana na Tetesi??huu ni uongo
Unajuwa Maana ya Tetesi?UWONGO
HakikaKwa anaejua football Zimbwe akiondoka Simba SC haina hasira kabisa
Aiseeee 😂 Mcheza Uchi tena?Mashindan yapi ya kimataifa wakati jina la zimbwe liko CAF kupitia simba? Labda mwakani
Umeamua ujitekenye mcheza uchi fc
Hii ni Tetesi, lolote laweza kutokeaYaani Yanga Sasa imeanza kuangaika na vibabu,? Yanga kwasasa hawana Tatizo lolote la Beki wa pembeni Sasa mtafutieni timu na habari zenu za kutafutiana michongo.
😂😂😂Huyo babu wa nini pale Yanga?
Hizo za ndani umeziokota kijiwe cha magazeti