Yanga wamlinde Yao na Max wasihujumiwe kama Feisal

Yanga wamlinde Yao na Max wasihujumiwe kama Feisal

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .

Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
 
Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .

Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
ni mawazo mazuri
 
Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .

Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
Atakuja yule Mwanamke kujifanya kuingia nao mkataba awe wakala wao.
 
Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .

Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
CC GENTAMYCINE, Bantu Lady, Kalpana et el
 
Kinachotakiwa scout ya Hersi na wenzake iwe endelevu kwa kila nafasi na isisubiri dirisha la usajili.

Mpira wa miguu ni business mchezaji mzuri hawezi kukaa Yanga mwa mda mrefu lazima ataondoka.
Kinacho takiwa iwe kama ivi wanavyo fanya kinatoka Chuma kinaingia chuma kuliko cha jana.
Lazima wanyooshe mikono juu.
 
Kinachotakiwa scout ya Hersi na wenzake iwe endelevu kwa kila nafasi na isisubiri dirisha la usajili.

Mpira wa miguu ni business mchezaji mzuri hawezi kukaa Yanga mwa mda mrefu lazima ataondoka.
Kinacho takiwa iwe kama ivi wanavyo fanya kinatoka Chuma kinaingia chuma kuliko cha jana.
Lazima wanyooshe mikono juu.
Kabisa mkuu......wakifika bei wanauza wanaleta chuma ingine
 
Wachezaji Afrika na Dunia hii hawaishi, ni uamzi wa timu kuamua kuingia chimbo bila janjajanja mbona unapa watu na nusu wengi Kama Max na Yao. Wakihitajika wapewe huwezi kizuia matamanio ya mchezaji akiamua Jambo, Mbape unamuona psg wameamua kukubali atakacho.
Bangala aliomba kuondoka wakamuacha, Djuma shabani pia Ila wote hawa wanajutia maamzi ya kutikisa kiberiti. Djuma mpk Sasa hana timu, wachezaji ni wengi Kama viongozi wataacha janjajanja na usajiri wa mbwembwe... Km ule wa Epl boy 🙈😅 asee hapa Eng alitupiga penyewe🙌🙌🙌🙌


Tumekusamehee Rais.
 
Wachezaji Afrika na Dunia hii hawaishi, ni uamzi wa timu kuamua kuingia chimbo bila janjajanja mbona unapa watu na nusu wengi Kama Max na Yao. Wakihitajika wapewe huwezi kizuia matamanio ya mchezaji akiamua Jambo, Mbape unamuona psg wameamua kukubali atakacho.
Bangala aliomba kuondoka wakamuacha, Djuma shabani pia Ila wote hawa wanajutia maamzi ya kutikisa kiberiti. Djuma mpk Sasa hana timu, wachezaji ni wengi Kama viongozi wataacha janjajanja na usajiri wa mbwembwe... Km ule wa Epl boy 🙈😅 asee hapa Eng alitupiga penyewe🙌🙌🙌🙌


Tumekusamehee Rais.
Naam

Timu zifanye scouting kimipango.

Mbona Yanga wanaweza?
 
Back
Top Bottom