Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa mmekutana na vibonde..nalo limekua jambo kuubwaa...Mech 2 magoli 10 ya clean sheet..!! We kuweza?
Tulishampiga mtu 7 kwa 0..nyie kuweza??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mmekutana na vibonde..nalo limekua jambo kuubwaa...Mech 2 magoli 10 ya clean sheet..!! We kuweza?
Mtani Kalpana, embu, ili kuachana na hilo neno vibonde ambalo makolo wote hujifariji nalo, akiwemo GENTAMYCINE, sema mapemaaaa kwamba timu ipi si vibonde ili tukikutana nayo MSIBADILI GIA ANGANI na kuanza kudai ni vibonde..!!Sasa mmekutana na vibonde..nalo limekua jambo kuubwaa...
Tulishampiga mtu 7 kwa 0..nyie kuweza??
Sasa mmekutana na vibonde..nalo limekua jambo kuubwaa...
Tulishampiga mtu 7 kwa 0..nyie kuweza??
Ihefu......na Simba baba lao... 🤣 🤣 🤣 🤣Mtani Kalpana, embu, ili kuachana na hilo neno vibonde ambalo makolo wote hujifariji nalo, akiwemo GENTAMYCINE, sema mapemaaaa kwamba timu ipi si vibonde ili tukikutana nayo MSIBADILI GIA ANGANI na kuanza kudai ni vibonde..!!
Tulia utakandwa siku si nyingi acha mbwembwe...Basi tuleteeni timu yako ambayo si kibonde
Ihefu......na Simba baba lao... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tumlete wapi?? Si mtakutana nae...au ligi imeisha..Sawa mleteni huyo ihefu ambae mnamuona si kibonde
Tulia utakandwa siku si nyingi acha mbwembwe...
Ulikandwa hujakandwa?Wewe wakunikanda kwa yale mashuti mawili on target mliopata kule Tanga
Tumlete wapi?? Si mtakutana nae...au ligi imeisha..
Ulikandwa hujakandwa?
Bibi wee nani ateseke?? Mnateseka nyie ambao hamjazoea kufunga magoli zaidi ya 2...kwa sasa mnaona kama mnaota..Aje tuuu kwan kmc na jkt si mliwasifia hivyo hivyo endelea kuteseka polepole
Kukandwa kupo pale pale iwe dkk 90 au dkk 2...Wewe sio wakuni kanda dkka tisini mwaka huuu
Bibi wee nani ateseke?? Mnateseka nyie ambao hamjazoea kufunga magoli zaidi ya 2...kwa sasa mnaona kama mnaota..
Bibi wee nani ateseke?? Mnateseka nyie ambao hamjazoea kufunga magoli zaidi ya 2...kwa sasa mnaona kama mnaota..
Hahahahaha...ongezeni juhudiSasa ndio tutaanza kuzoea polepole ili nyinyi muumie zaidi
Na iyo ndio njia pekee tutakayoweza kushindana na timu kubwa Afrika. Maana hatuwezi kugombania nao mchezaji kwa sababu wamwtuzidi uwezo kipesa suluhisho ni kjwa na team nzuri ya scout tuweze kuwaona wachezaji wazuri kabla yaoKinachotakiwa scout ya Hersi na wenzake iwe endelevu kwa kila nafasi na isisubiri dirisha la usajili.
Mpira wa miguu ni business mchezaji mzuri hawezi kukaa Yanga mwa mda mrefu lazima ataondoka.
Kinacho takiwa iwe kama ivi wanavyo fanya kinatoka Chuma kinaingia chuma kuliko cha jana.
Lazima wanyooshe mikono juu.
Wewe ulimskia nani akipiga kelele kila mtu anaandika hapigi keleleMbona kelele nyingi bado mapema..yani mechi 2 ndo keleleeeeee...
Kweli umenena vyema.Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .
Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
"Football is business my sister". Alisikika mdau wa soccer akisema. UPO HAPO!Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .
Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI