Yanga wamlinde Yao na Max wasihujumiwe kama Feisal

Yanga wamlinde Yao na Max wasihujumiwe kama Feisal

Kutokana na ubora wa Max, Yao, Aziz Kii na Pacome ni dhahiri kunawakera sana SIMBA NA AZAM. Rai yangu ni Yanga ifanye kila iwezavyo kuwalinda hawa wachezaji ili kuepusha KUHUJUMIWA kama walivyofanya kwa Feisal Salum na Bernard Morrison miaka ile. Ingawa walichokitegemea katika mpango wa Feisal Salum KIMEFELI SANA maana alipoondoka tu Yanga ndipo timu ikastawi zaidi na huko AZAM KIWANGO CHAKE KIMEKUWA HAKITOFAUTIANI na MCHEZAJI WA KMC , MASHUJAA, DODOMA JIJI nk.
Wanajisifu hata kuihujumu kwa PATRICE NGOMA, Lakini huyu Mungu acha aitwe Mungu kwasababu KIWANGO chake kumbe ni cha kawaida sana .

Simba muda wote huwaza kuihujumu Yanga, na kwasasa wanaishirikisha Azam .
Nadhani Yanga mtakuwa mmenielewa. Walindeni wachezaji wenu hasa KIMASLAHI
Wacha woga wa kitoto,Simba wanafikiria mambo ya kikubwa zaidi kuhangaika na utopolo tumewaachia Azam na watoto wenzenu wengine.
 
Wacha woga wa kitoto,Simba wanafikiria mambo ya kikubwa zaidi kuhangaika na utopolo tumewaachia Azam na watoto wenzenu wengine.
Hivi unatambua kuwa Mwaka huu kimataifa mnaishia kwa Power dynamos. Yaani hata Makundi hamuingii. Najua taarifa hii INAKUUDHI NA HUTAKI KUISIKIA lakini Ukumbuke tu haya maneno nimekaa paleee
 
Hivi unatambua kuwa Mwaka huu kimataifa mnaishia kwa Power dynamos. Yaani hata Makundi hamuingii. Najua taarifa hii INAKUUDHI NA HUTAKI KUISIKIA lakini Ukumbuke tu haya maneno nimekaa paleee
Hiyo siyo taarifa bali ni mawazo yako,mimi ni nani nikasirikie mawazo yako? Ninachojua mpira unachezwa uwanjani na Simba haina muda mchafu kufikiria mambo ya utopolo ilhali tuna kazi ya kufanya.
 
Hiyo siyo taarifa bali ni mawazo yako,mimi ni nani nikasirikie mawazo yako? Ninachojua mpira unachezwa uwanjani na Simba haina muda mchafu kufikiria mambo ya utopolo ilhali tuna kazi ya kufanya.
Ni kweli mna kazi kubwa ya kufanya maana kama timu kiwango kipo sawa na Jkt Tz
 
Hivi unatambua kuwa Mwaka huu kimataifa mnaishia kwa Power dynamos. Yaani hata Makundi hamuingii. Najua taarifa hii INAKUUDHI NA HUTAKI KUISIKIA lakini Ukumbuke tu haya maneno nimekaa paleee
Lolote baya liwakumbe wanalunyasi
 
Back
Top Bottom