Yanga wamshambulia kocha Nabi kwa kuvaa jezi ya Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wakati Yanga wakiendelea kutafuta mchawi aliyesababisha wakapigwa na USMA wikendi iliyopita, baadhi ya mashabiki wao wameanza kuwashutumu baadhi ya watendaji wao kwa usaliti kisa kuvaa nguo zenye rangi nyekundu na nyeupe.

Katika jambo lililoshangaza wengi, siku ya mechi ya USMA kocha mkuu wa Yanga Nabi Nasrubrikegty alivaa jezi nyeupe.


Your browser is not able to display this video.


Kama hiyo haitoshi, baada ya mechi hiyo mmoja wa watangazaji wa Yanga katika kitengo cha habari alionekana akiwahoji wachezaji wa Yanga huko kambini Kimbiji huku amevalia jezi nyekundu.



Mashabiki wa Simba walipotafutwa kutoa maoni yao kuhusu matukio haya wengi walijibu tu kwa kauli moja kuwa "sisi tuna watu".

Maoni yangu, Yanga jifunzeni mpira, kufungwa ni jambo la kawaida. Msije mkaaza kuvuana nguo kuchunguzana hadi rangi za vyupi.
 
Ushabiki maandazi na kalmati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…