hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Aisee nilikuwa Yanga makao makuu pale ,huwa naenda kusikiliza stori za klabu yangu pendwa Yanga, pale nakutanaga na wazee kina mzee was Moro, mzee mpili, n.k
Sasa kuna daftari lipo pale UKIFIKA jioni linatembea la kuchangia pesa ya mganga kutoka VISIWANI Zanzibar, Lina karibu wiki 2, uchangiaji umeanza mapema kwa sababu ,HUYU mganga Awali alicheleweshewa pesa yake kwenye mechi ya nusu fainal ile ya Mwanza na akasema ilikuwa Yanga tushinde goli NYINGI.
Sasa Safari hii maandalizi yameanza hii itakuwa wiki ya tatu katika kuchangia ili Simba afe kwenye ngao ya jamii
Kilichonishangaza had Viongozi wakubwa wanachangia pesa ya mganga kutoka VISIWANI
Ila nasikia Simba walimtumia mganga wao akakuta tayari Yanga anaongoza goli 3, ikafanyika kazi zikapunguzwa ndipo likabaki goli 1
Ndio Maana wazee wa Simba waliongea mapema HII MECHI TUMEPIGWA .
Pita kuanzia saa 10 pale makao makuu utakuta daftari la mchango wa mganga
Kwa imani yangu mimi sikuweza kuchangia hata Mia japo nilipigwa elimu na wazee, binafsi naamini katika wachezaji wazuri na mbinu.
Sasa kuna daftari lipo pale UKIFIKA jioni linatembea la kuchangia pesa ya mganga kutoka VISIWANI Zanzibar, Lina karibu wiki 2, uchangiaji umeanza mapema kwa sababu ,HUYU mganga Awali alicheleweshewa pesa yake kwenye mechi ya nusu fainal ile ya Mwanza na akasema ilikuwa Yanga tushinde goli NYINGI.
Sasa Safari hii maandalizi yameanza hii itakuwa wiki ya tatu katika kuchangia ili Simba afe kwenye ngao ya jamii
Kilichonishangaza had Viongozi wakubwa wanachangia pesa ya mganga kutoka VISIWANI
Ila nasikia Simba walimtumia mganga wao akakuta tayari Yanga anaongoza goli 3, ikafanyika kazi zikapunguzwa ndipo likabaki goli 1
Ndio Maana wazee wa Simba waliongea mapema HII MECHI TUMEPIGWA .
Pita kuanzia saa 10 pale makao makuu utakuta daftari la mchango wa mganga
Kwa imani yangu mimi sikuweza kuchangia hata Mia japo nilipigwa elimu na wazee, binafsi naamini katika wachezaji wazuri na mbinu.