Unaleta matokeo ya kipindi mh.Rais Samia yupo vidudu?leta matokeo ambayo waliokufunga bado wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaleta matokeo ya kipindi mh.Rais Samia yupo vidudu?leta matokeo ambayo waliokufunga bado wapo
Akikujibu nistue nipo paleeeeKimataifa vp ??
mara ya mwisho MWIKO NYUMA kufungwa 5 ni april 12 2012Unaleta matokeo ya kipindi mh.Rais Samia yupo vidudu?leta matokeo ambayo waliokufunga bado wapo
Okwi yupo wap?wachezaji waliokupiga 5 wote bado wapo Yanga,bisha niwataje majinamara ya mwisho MWIKO NYUMA kufungwa 5 ni april 12 2012
na Emmanuel okwi bado anacheza soka
Kelvin yondani bado anacheza mpiraOkwi yupo wap?wachezaji waliokupiga 5 wote bado wapo Yanga,bisha niwataje majina
Yanga ni ile ile haijabadilika chochote kiuchezaji . Kilichobadilika ni mfumo wa utoaji bahasha tu kwa kuongeza unene wa bahasha ambao unazifanya timu pinzani zicheze kwa maelekezoYanga iliyofungwa na Azam,Tabora,Al hilal na Mc alger na kudraw na Mazembe na Yanga hii ya mechi 4 nyuma ni Yanga mbili tofauti.
Ukiziangalia kwa jicho la mpira utaona utofuti huo.
Ila ukiziangalia kwa jicho la Rage hautoona huo utofauti.
Nyie makolo bahasha alikua anapokea nani?Yanga ni ile ile haijabadilika chochote kiuchezaji . Kilichobadilika ni mfumo wa utoaji bahasha tu kwa kuongeza unene wa bahasha ambao unazifanya timu pinzani zicheze kwa maelekezo
Klabu Bingwa inaenda kuwaonesha ukweli kwamba huku NBC PL mnashinda kwa nguvu ya bahasha
Tayari mlikuwa na naduka yenu ndani ya simba . (Chama , Baleke ,Inonga ) Tofauti na hapo msingeweza .Kwani Ata nyie Makolo mlivopigwa 5 mlikuwa hamkabi?.!
Tumieni na ninyi kama unadhani nijambo rahisi matumizi ya sindano,mnaleta propaganda za kishamba.Bila sindano mwiko nyuma weupe kama toilet paper
Kwani ile klip ya chamazi ni propaganda? 🤣Tumieni na ninyi kama unadhani nijambo rahisi matumizi ya sindano,mnaleta propaganda za kishamba.
Kuwa muelewa walikukanda tano bado wapo Yanga,max,aziz,pacome na usipokaa vizuri watakukanda tena,mana usiunaijua tabia ya popobawa?Kelvin yondani bado anacheza mpira
Okwi anakipiga kiyovu sports
Popo bawa ni tabora united tangu akukande bao 3- 1 ukakigawa kwa waarabu inye yote haina marinda 🤣Kuwa muelewa walikukanda tano bado wapo Yanga,max,aziz,pacome na usipokaa vizuri watakukanda tena,mana usiunaijua tabia ya popobawa?
Mm nilivyokukanda cha nguruwe umesahauPopo bawa ni tabora united tangu akukande bao 3- 1 ukakigawa kwa waarabu inye yote haina marinda 🤣
Nakumbuka cha azam ambacho kilikutoa bikra wafuga nyuki wakajipigiaMm nilivyokukanda cha nguruwe umesahau
Mm kila siku nakushenyenta ww queen fcNakumbuka cha azam ambacho kilikutoa bikra wafuga nyuki wakajipigia
Na waarabu wakatanua bawasiri kabisa
Kama unavyofanywa na haji manara?Mm kila siku nakushenyenta ww queen fc
Manura yuko wapi?Kwani Ata nyie Makolo mlivopigwa 5 mlikuwa hamkabi?.!
Kayoko yuko wapiBado hujasema! Timu yako imefungwa mara 4 mfululizo! Na yenyewe ilikuwa haikabi? Ilipanga matokeo?
Mechi ya mwisho Yanga ilishinda 1-0, huku Kijili akijifunga! Una maoni gani? Bahasha zilitembea?