Yanga wapo busy kujadili uwekezaji wa MO halafu msimu ukianza wanaanza kulalamikia TFF

Yanga wapo busy kujadili uwekezaji wa MO halafu msimu ukianza wanaanza kulalamikia TFF

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Wakati Mashabiki wa Simba wanajiuliza kua Chama na Miquissone kama wataondoka au watabaki na usajili upi ufanyike ili timu ifike nusu fainali au fainali ya CAF. Utopolo wapo busy kuuchambua uwekezaji wa MO na kuuona ni upigaji.

By the way kipindi ambacho Yanga wanafuraha ni kipindi hiki cha usajili acha wafurahi. Ligi ikianza ni malalamiko tu.
 
Viongozi wa yanga wako makini Sana na usajili wa safari hii , uwezi kubeba mijadala ya mashbiki kwenye mitandao ukaielekeza kwa viongozi, viongozi wanafanya kazi yao kwa umakini na kwa uweledi
 
Wakati Mashabiki wa Simba wanajiuliza kua Chama na Miquissone kama wataondoka au watabaki na usajili upi ufanyike ili timu ifike nusu fainali au fainali ya CAF. Utopolo wapo busy kuuchambua uwekezaji wa MO na kuuona ni upigaji.

By the way kipindi ambacho Yanga wanafuraha ni kipindi hiki cha usajili acha wafurahi. Ligi ikianza ni malalamiko tu.
Sikujua Kama Simba inaongozwa na mashabiki.
 
Wakati Mashabiki wa Simba wanajiuliza kua Chama na Miquissone kama wataondoka au watabaki na usajili upi ufanyike ili timu ifike nusu fainali au fainali ya CAF. Utopolo wapo busy kuuchambua uwekezaji wa MO na kuuona ni upigaji.

By the way kipindi ambacho Yanga wanafuraha ni kipindi hiki cha usajili acha wafurahi. Ligi ikianza ni malalamiko tu.
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Genta kama Genta huwa hapindishi. Luc Eymal popote alipo apige beer aliona mbali kuhusu Uto
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
GENTAMYCINE na Lucy Eymael ni ndugu kabisa hawa, wala siwezi kuwatofautisha
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Nyani ni nyani hata aigize kutembea kwa miguu miwili na kuvaa suti atabaki kuwa nyani tu
IMG-20191111-WA0001.jpg
 
Genta kama Genta huwa hapindishi. Luc Eymal popote alipo apige beer aliona mbali kuhusu Uto
Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.
 
Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.
Popoma katika harakati zako
 
Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.
Ushabiki mwingine bwana ni wa kipuuzi tu, Rage akukosea kuwaita lile jina maarufu ,awa wazee uwa wana maono ya mbali tusiwe tunawabeza kwakweli
 
Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.
Hata jana Mo aligusia Simba fans purchasing power yao ni kubwa haiwezekani muekezaji Mpunga sawa kana kwamba tunafanana kwa kila kitu
 
Ushabiki mwingine bwana ni wa kipuuzi tu, Rage akukosea kuwaita lile jina maarufu ,awa wazee uwa wana maono ya mbali tusiwe tunawabeza kwakweli
Rage alituita Simba SC ni Mbumbumbu ila nyie Kocha wenu Mbelgiji Luc Eymael aliwaiteni Nyani, Mbwa na Sokwe je, Kwako Wewe hapo nani Katukanwa vibaya, Kaumia na Kadhalilishwa mno? Nasubiri jibu lako tafadhali...!!
 
Yanga roho zinataka kuacha mwili, moyo uko speed ya hatari yaani escaping velocity! Sasa wao kinawauma nini sie tumekubali kumpa team Tajiri kijana msomi!!
Wao wakusanye matajiri wote wa Dar sie mo mmoja tu anatutosha na watakaa pamoja na judo zao.
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom