Yanga wapo busy kujadili uwekezaji wa MO halafu msimu ukianza wanaanza kulalamikia TFF

Yanga wapo busy kujadili uwekezaji wa MO halafu msimu ukianza wanaanza kulalamikia TFF

Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.

Hahahahhaha mkuu waache kwanza maana kombora zako hatari
IMG_3727.png
 
Viongozi wa yanga wako makini Sana na usajili wa safari hii , uwezi kubeba mijadala ya mashbiki kwenye mitandao ukaielekeza kwa viongozi, viongozi wanafanya kazi yao kwa umakini na kwa uweledi

IMG_3727.png
 
Rage alituita Simba SC ni Mbumbumbu ila nyie Kocha wenu Mbelgiji Luc Eymael aliwaiteni Nyani, Mbwa na Sokwe je, Kwako Wewe hapo nani Katukanwa vibaya, Kaumia na Kadhalilishwa mno? Nasubiri jibu lako tafadhali...!!
Nini maana ya neno mbumbumbu? Ukipata jibu lake utakuwa ushaelewa kwanini Mo anawapiga alafu anawaambia Anapata hasara kwenye timu kwa miaka 4 yote,
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Leo pia saido kasema hivo hivo
 
Nini maana ya neno mbumbumbu? Ukipata jibu lake utakuwa ushaelewa kwanini Mo anawapiga alafu anawaambia Anapata hasara kwenye timu kwa miaka 4 yote,
Na Wewe nini maana ya Nyani, Mbwa na Sokwe ambayo wana Yanga SC wote mliambiwa hivyo na aliyekuwa Kocha wenu Mbelgiji Luc Eymael?
 
Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.

Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Zimewekwa wapo?
 
Viongozi wa yanga wako makini Sana na usajili wa safari hii , uwezi kubeba mijadala ya mashbiki kwenye mitandao ukaielekeza kwa viongozi, viongozi wanafanya kazi yao kwa umakini na kwa uweledi
Hao viongozi wa yanga walio makini ndo hawa akina mwakalebela na bumbuli,nugaz etc au ?
 
Back
Top Bottom