Ukitaka hata Kumthibitisha tofauti nyingine Kubwa iliyopo Chunguza kati ya Mashabiki wa Simba na wale wa Yanga nani ni Werevu ( Brainiacs ) sana na Wasomi ( Intellectuals ) hasa nchini Tanzania utagundua kuwa Simba SC ndiko kuna Werevu na Wasomi wengi, ila huko Kwingineko ( Yanga SC ) kumejaa tu Mangumbaru ( Wajinga ) na Mapopoma ( Wapumbavu ) watupu.
Viongozi wa yanga wako makini Sana na usajili wa safari hii , uwezi kubeba mijadala ya mashbiki kwenye mitandao ukaielekeza kwa viongozi, viongozi wanafanya kazi yao kwa umakini na kwa uweledi
Nini maana ya neno mbumbumbu? Ukipata jibu lake utakuwa ushaelewa kwanini Mo anawapiga alafu anawaambia Anapata hasara kwenye timu kwa miaka 4 yote,Rage alituita Simba SC ni Mbumbumbu ila nyie Kocha wenu Mbelgiji Luc Eymael aliwaiteni Nyani, Mbwa na Sokwe je, Kwako Wewe hapo nani Katukanwa vibaya, Kaumia na Kadhalilishwa mno? Nasubiri jibu lako tafadhali...!!
Leo pia saido kasema hivo hivoWanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.
Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Leo pia saido kasema hivo hivo
Na Wewe nini maana ya Nyani, Mbwa na Sokwe ambayo wana Yanga SC wote mliambiwa hivyo na aliyekuwa Kocha wenu Mbelgiji Luc Eymael?Nini maana ya neno mbumbumbu? Ukipata jibu lake utakuwa ushaelewa kwanini Mo anawapiga alafu anawaambia Anapata hasara kwenye timu kwa miaka 4 yote,
Zimewekwa wapo?Wanahangaika na Suala la Mchezaji Bernard Morrison huko CAS na sasa wamelipokea na hili la Mo Dewji na kuweka 20B Tsh yake Simba SC wakidhani yatawapoza Mashabiki wao ambao kwa mwaka huu wa Nne ( 4 ) wanapishana tu na Kombe la VPL na la ASFC pia.
Mimi wana Yanga SC hata hawanipi taabu ( shida ) Mkuu kwani kama tu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael Raia wa nchini Ubelgiji ( Ubeleshi ) alisema ( hata katika YouTube ) ipo kuwa wana Yanga SC wengi ni Nyani, Mbwa na Sokwe Mimi na Wewe ni nani tupingane nae?
Nyabeni Kwako.Zimewekwa wapo?
Hao viongozi wa yanga walio makini ndo hawa akina mwakalebela na bumbuli,nugaz etc au ?Viongozi wa yanga wako makini Sana na usajili wa safari hii , uwezi kubeba mijadala ya mashbiki kwenye mitandao ukaielekeza kwa viongozi, viongozi wanafanya kazi yao kwa umakini na kwa uweledi