Yanga watarudi na ubingwa Algeria

Yanga watarudi na ubingwa Algeria

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria

Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.

Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.

Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.

Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.

Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.

Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
 
Hiyo hapo yanga akiwa bingwa kapewa 7.80 ukiwepa hiyo laki yako utapiga 700k kazi kwako

126B428F-5B6B-4D99-B09B-DAE76D8300C0.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwenye kubet mpira kuna mambo manne yanayomuongoza mtu. Kuna uhalisia, uhakika , uwezekano na matamanio. Wewe upo kwenye kundi la MATAMANIO.

Sasa kiuhalisia yanga hashindi hilo kombe, kiuwezekano yanga anauwezekano finyu mno kurudi na kombe, kiuhakika hakuna uhakika wa yanga kufunga goli hata moja huko algeria na kimatamanio hilo linajazwa na utashi wako mbovu.
 
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria

Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.

Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.

Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.

Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.

Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.

Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
tupo nyuma yako
 
PROBABILITY YA KUBEBA UBINGWA NI 15%.

HIYO MECHI KWA YANGA NI NGUMU NGUMU MNOO.
 
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria

Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.

Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.

Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.

Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.

Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.

Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
Kabla ya mechi ya kwanza kuchezwa ulisema nini ?
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria

Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.

Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.

Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.

Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.

Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.

Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
Kabla ya mechi ya kwanza kuchezwa ulisema nini ?
Tuanzie hapo kwanza
 
Hapo umeongea kama Mshabiki wa Yanga, ila ungeweza kuongea kama mtu wa Soka usingesema hayo.

Fikiria unacheza na Timu iliyopo nyumbani, alafu ikiwa na advantage ya kuongoza bao 2

Timu ambayo ina hasira za kupuliziwa dawa vyumbani mwao nk.

Tusema ukweli Mkuu, kushinda huko labda iwe njaa lakini sio Ubingwa
 
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria

Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.

Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.

Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.

Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.

Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.

Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
[emoji169][emoji169][emoji172][emoji172]
 
Back
Top Bottom