kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Jumapili baada ya yanga kupoteza nilihapa kuwa Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria
Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.
Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.
Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.
Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.
Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.
Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho
Baadhi ya mashabiki wa Simba walinicheka Na kunisema nimelewa wengine nimevuta bangi.
Leo Tena narudia Nina uwakika yanga watarudi Na ubingwa Algeria.
Nipo tayari kubeti Na mtu yeyote.
Na Tena yeye atowe 0 Mimi nitowe Laki Moja.
Maneno yangu yasipo timia anachukuwa pesa hizo.
Yanga akirudi na ubingwa sitakuwa na time ya kuchukuwa pesa zake Bali nitataka kumuonyesha kuwa nilicho kisema nilikuwa na uhakika nacho