Yanga wataweka Rekodi mwaka huu ya kuingia Nusu Fainali ya Klabu Bingwa

Yanga wataweka Rekodi mwaka huu ya kuingia Nusu Fainali ya Klabu Bingwa

sio nusu fainali mwaka huu mtashuhudia fainali pale lupaso andaeni tena mvua ya kutosha
 
msimu uliopita ilikuwa hivihivi hatimaye tukacheza fainali mkuu huo ni muono wake japo wewe umetikia shaka akili zake.
Kisichowezekana kwako siyo kanuni kutowezekana kwa wengine.
Muda ni Mwl mzur sana....
 
Hata kwenye shirikisho alisema watafika makundi ila cha ajabu wakafika mpaka fainali.
wewe utakuwa ndiye yule niliyemshauri aachane na mpira, msimu uliopita yanga hakuwa na malengo CAFCC badala yake aliweka malengo ya group stage CAFCL ambako alitolewa raundi ya kwanza

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu Mimi ni mfatiliaji mzuri wa mpira
Nataka ni kuakikishie kuwa ikiwa yanga watakwenda na mpira wao huu wa kushambulia zaidi sio ugenini wala nyumbani
Kuna timu kubwa watapigwa nje ndani
Zitaje hizo team [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza katika timu dhaifu ambazo Mimi naamini wahawana mpira wa kutisha basi ni wydad
Simba wangewatoa wale but walishindwa kwasababu walikosa Imani wao waliamini ni vigumu kupambana na wydad kwao ndo maana walitoka na 0 shoot on taget Yaani walicheza mpira wa kupaki zaidi wakashindwa kushambulia
Wydad hii iliyomtoa Mamelod sundowns?? Wee unachekesha aseeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wydad hii iliyomtoa Mamelod sundowns?? Wee unachekesha aseeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mamelodi ni timu nzuri saana na kubwa ila kuna mda mwingine wanajisau saana
 
Mamelodi ni timu nzuri saana na kubwa ila kuna mda mwingine wanajisau saana
Kwenye mpira hakuna kujisahau, kwann wydad wasijisahau? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan Yanga ikikutana na hizi team ni kipigooo.
Al ahly
Mamelod sundowns
Wydad
Experance.
Simba
 
Kwenye mpira hakuna kujisahau, kwann wydad wasijisahau? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan Yanga ikikutana na hizi team ni kipigooo.
Al ahly
Mamelod sundowns
Wydad
Experance.
Simba

Kwa hiyo unataka kuniambia Petro ya angola ni timu kubwa kuliko mamelodi ? Jibu ni hapana lakini waliwatoa mamelodi mwaka jana

Toa simba hapo sio timu kubwa

Hizo timu ulizo weka hapo juu kuna ambao wataliwa na yanga nje ndani mda utaongea
 
Kwan mwaka jana iliyotolewa na Al hilal ilikua ya Manji?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwaka jana yanga walikuwa bado wanajitafuta
Kwasasa wamejipata

Kwa hiyo tegemea moto juu ya moto sio ugenini wala nyumbani hakuna kupaki na mwendo wa kushambulia mwanzo mwisho
 
Kwa hiyo unataka kuniambia Petro ya angola ni timu kubwa kuliko mamelodi ? Jibu ni hapana lakini waliwatoa mamelodi mwaka jana

Toa simba hapo sio timu kubwa

Hizo timu ulizo weka hapo juu kuna ambao wataliwa na yanga nje ndani mda utaongea
Sasa Petro De luanda iko level 1 na yanga? Simba siwezi watoa, couz ni quarter final kwa 3 yrs, unadhan ni wadogo?

Kwa team nilizotaja huna wa kumfunga, hapo kwa mkapa labda uambulie sare. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka jana yanga walikuwa bado wanajitafuta
Kwasasa wamejipata

Kwa hiyo tegemea moto juu ya moto sio ugenini wala nyumbani hakuna kupaki na mwendo wa kushambulia mwanzo mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Al hilal wanachekea chooni.
Wee huku sio shirikisho, utasema mbna,
 
Sasa Petro De luanda iko level 1 na yanga? Simba siwezi watoa, couz ni quarter final kwa 3 yrs, unadhan ni wadogo?

Kwa team nilizotaja huna wa kumfunga, hapo kwa mkapa labda uambulie sare. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Last month nilipost Uzi hapa kuwa mashabiki wa simba mwaka huu mtafuta cha kusingizia

Mimi nafatlia mpira vizuri saana kwenye hizo timu hakuna wakumkalisha yanga ya sasa mda utaongea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Al hilal wanachekea chooni.
Wee huku sio shirikisho, utasema mbna,

Wewe ulikwenda shirikisho ukaishia robo Kama kawaida yako Alafu unataka kubishana na mtu ambaye amefika final kabisa ya shirikisho ambayo simba waliwasha moto lakini hakuna walicho kiweza
 
Last month nilipost Uzi hapa kuwa mashabiki wa simba mwaka huu mtafuta cha kusingizia

Mimi nafatlia mpira vizuri saana kwenye hizo timu hakuna wakumkalisha yanga ya sasa mda utaongea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli muda upoo na ntakuuliza, na huwa sisahau, kuna mwenzako had akawa anaomba modes waniban jumla JF.

ntakurudia wakati husika.
 
Back
Top Bottom