Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Akili hawana, hasa viongozi wao, mimi nilishangaa Bodi ya ligi imetoa taarifa ya kuhairisha mechi halafu wao wakapeka timu uwanjani, watu bado wanajiuliza kilichotokea, wamepeleka basi Mo Arena, wakidai ni utani, hakuna utani wa staili hizo kwenye wakati wa taharuki, na pia utani uko kwa mashabiki na sio watu wa management, wangeweza kudhurika na sijui wangesemaje! Wanjitia ubabe usio na maana yoyote, subiri uone kitakachotokea, hawatakaa waamini!
Yanga inaendeshwa kihuni sana, utoto mwingi.
 
Nikimbie mjadala ili iweje? Nimekuuliza ile barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaa kikao?
Barua inasema imeandikwa na nani.

Unadhani hilo swali lako ndiyo linakuokoa na jukumu la kuthibitisha kauli yako kuwa post ya Magori inaendana na kilichoandikwa katika barua?
 
Barua inasema imeandikwa na nani.

Unadhani hilo swali lako ndiyo linakuokoa na jukumu la kuthibitisha kauli yako kuwa post ya Magori inaendana na kilichoandikwa katika barua?
Management na Magoli nae si sehemu hiyo Management?

Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?
 
Hamkuwa hata na jezi zinazotambulika na TFF, mlijiandaa kucheza mechi ipi hiyo? Halafu unasema mlitimiza wajibu wenu wakati jezi tu mlishindwa kuwa nazo.

Kwani kama kwa tafsiri yako ile barua ndiyo imetaja kuwa uamuzi wa mwisho umeshafanyika, basi tuambie wewe hiyo tarehe ya mechi ya marudiano.

Kama mmefikia hatua ya kutunga stori za mbuzi, kuku na vizee ni dhahiri kuwa mmeshtukia kuwa mmeingia cha kike. Kwanza wanaume gani nyie mnaogopa mbuzi? Mnaogopa kuku? Mnaogopa wazee? Ndiyo maana tabia zenu nyingi zina ukakasi.

Kama mmefikia levo za kuwakana mabausa wenu ni dhahiri mmeshashtukia mmeingia cha kike.

Picha za basi la Simba likizongwa zongwa na nao wahuni wao ziko mitandaoni, mbona za hao vibabu na mbuzi zinazodaiwa zilikuwa kwenye basi la Simba hazionekani mitandaoni?
 
Management na Magoli nae si sehemu hiyo Management?

Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?
Toa ushahidi wa kile ulichosema, acha mbambamba.
 
Picha za basi la Simba likizongwa zongwa na nao wahuni wao ziko mitandaoni, mbona za hao vibabu na mbuzi zinazodaiwa zilikuwa kwenye basi la Simba hazionekani mitandaoni?
Achana nao hao. Wanaongozwa na wanasiasa kwa hiyo wanadhani kila kitu ni cha kufanyia propaganda.
 
Toa ushahidi wa kile ulichosema, acha mbambamba.
Mbamba nini simple scenario nimekupa ,unazunguka kama dawa ya mbu wa kuchoma.

""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""
 
Toa ushahidi wa kile ulichosema, acha mbambamba.
Mbamba nini simple scenario nimekupa ,unazunguka kama dawa ya mbu wa kuchoma.

""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""
 
Mbamba nini simple scenario nimekupa ,unazunguka kama dawa ya mbu wa kuchoma.

""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""
Haihitaji D 2 kujua umeshindwa kuthibitisha kauli yako kwa hiyo lolote lingine unalosema ni porojo tu.
 
Haihitaji D 2 kujua umeshindwa kuthibitisha kauli yako kwa hiyo lolote lingine unalosema ni porojo tu.
""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""

Bandiko la chiki hukilielewa hata mfano huo wajuu hutoelewa.
Screenshot_20250312_150159_Chrome.jpg
 
""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""

Bandiko la chiki hukilielewa hata mfano huo wajuu hutoelewa.
View attachment 3267790
Huko tayari kuscreenshot post zangu na kucopy na kupaste post zako unaona rahisi ila kutuonyesha katika barua wapi Simba imesema haitaendelea na ligi umeshindwa.
 
Huko tayari kuscreenshot post zangu ila kutuonyesha katika barua wapi Simba imesema haitaendelea na ligi umeshindwa.
Nikimbie mjadala ili iweje? Nimekuuliza ile barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaa kikao?

""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""

Nikukimbie ww mweupe kabisa ndio maana hayo maswali huwezi ni jibu.
 
Nikimbie mjadala ili iweje? Nimekuuliza ile barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaa kikao?

""Mfano Kwenye jopo la Management ya wapishi anatokea mmoja wa wapishi anasema chakula kimechacha,utakula au hauli?""

Nikukimbie ww mweupe kabisa ndio maana hayo maswali huwezi ni jibu.
Sasa hivi umehamia kwa wapishi ila kuleta ushahidi wa ulichokisema kurasa nyingi zilizopita aaah! Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, ila wewe unaona poa tu kukimbia huku utupu wako uko nje nje.
 
Sasa hivi umehamia kwa wapishi ila kuleta ushahidi wa ulichokisema kurasa nyingi zilizopita aaah! Mtu mzima akivuliwa nguo uchutama, ila wewe unaona poa tu kukimbia huku utupu wako uko nje nje.
Niiongea hapa ila kichwa chako kizito.
Screenshot_20250312_150159_Chrome.jpg

Nimekuwekea mifano hutaki kuelewa,sasa nikufanyeje kama akili yenyewe ujazo wa kisoda.
 
Unadhani utanichosha ili uepuke aibu ya kuonekana unabwabwaja mambo yasiyokuwepo.
Nikuchoshoshe kwani nimekuita humu JF? Unajipa umuhimu wakati sikufahamu.

Aliyepayuka kiongozi wenu, kutoka kwenye management yenu ambaye ni decision maker wenu.
 
Back
Top Bottom