Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Mzee Mnguto ni decision maker wa body ya ligi,asubuhi ya siku ya mechi alihojiwa na vituo mbali mbali vya habari alikiri kuwa mechi ipo kama kawaida,vipi baada ya kikao cha kamati ya uendeshaji cha bodi ya ligi ambacho yeye ni Mwenyekiti,aliendelea na msimamo wake kuwa mechi ipo?
Kwa hiyo unataka kusema Kikao kili-Overwrite kauli ya Mguto.Sasa huku ilianza kutoka barua then ikaja kauli ya Magoli, kwa kutumia mtizamo wako huoni kauli ya Magoli imeoverwrite barua yenu?
 
Acha porojo we 🐸...

Hebu tuwekee hapa tamko la uongozi wa yanga kutopokea barua rasmi ya kuahirishwa kwa mechi.

Kama wangepokea wasingenda uwanjani,nyie Kolo FC si mnatumia Instagram kufanya kazi kama Mwijaku na Baba Levo.
 
Umesema barua ya Simba imesema kile kile ambacho Magori amesema, thibitisha kuwa ulichosema ni kweli kwa kupost barua na kuonyesha mahali ambapo Simba katika barua ile imesema haitaendelea na ligi.
Kwani ile barua ilindikwa na Ahmed au baada ya Decision makers kukaa kikao?

Imeanza kutoka barua then ikaja kauli ya mmoja wa Decision makers wenu, ina maana Magoli anapayuka?
 
Umesema Kolo FC ,sasa kwani Kolo FC ndiyo Yanga? Wewe vipi kila taasisi inautaratibu wake wa kazi, kuna taasisi weekend hazifanyi kazi,kuna nyingine zinafanya,Yanga Jumamosi ni siku ya mapumziko,ila kwa kuwa walikuwa wenyeji ratiba ya club ilikuwa ni maandalizi ya mechi,shughuli. Mfano mmeenda uwanjani meneja hamkumpa taarifa na yeye kiutaratibu smda wake wa kazi ushaisha.

So kila klabu ina mifumo yake officially ya kufanya kazi,Ninavyojua mimi ili mechi ihairishwe taarifa inatakiwa kabla ya masaa 72 mechi kuchezwa,labda kuwe na dharala,Mvua,issue za umeme,ulaya kule labda barafu.Sasa walio weka hayo kabla ya masaa 72 walikuwa wajinga? Unakurupuka siku hiyo hiyo unatoa taarifa kwani kulikuwa na dharula gani.
Ni vema umesema kuwa kwa unavyojua wewe,kwamba Yanga ambayo ni timu ya mpira haifanyi kazi weekend,sasa tarehe 8 ambayo mnadai mlienda uwanjani ilikuwa katikati ya wiki au ndio namuuliza mtu ambaye si JK Kikwete au Sunday Manara?Nimekuuliza onesha hapa katika rundo la barua ambazo Yanga wameandika hata moja ikionesha wakikana kupokea barua ya kuahirishwa mechi.Kwa akili yako unadhani barua zote wanazopokea wanaleta humu kwenye mitandao ya jamii?
 
Kwa hiyo unataka kusema Kikao kili-Overwrite kauli ya Mguto.Sasa huku ilianza kutoka barua then ikaja kauli ya Magoli, kwa kutumia mtizamo wako huoni kauli ya Magoli imeoverwrite barua yenu?
Hujua hata unachotetea ndio maana wenye akili wameamua kukupuuza,nami naungana nao kukupuuza
 
Ni vema umesema kuwa kwa unavyojua wewe,kwamba Yanga ambayo ni timu ya mpira haifanyi kazi weekend,sasa tarehe 8 ambayo mnadai mlienda uwanjani ilikuwa katikati ya wiki au ndio namuuliza mtu ambaye si JK Kikwete au Sunday Manara?Nimekuuliza onesha hapa katika rundo la barua ambazo Yanga wameandika hata moja ikionesha wakikana kupokea barua ya kuahirishwa mechi.Kwa akili yako unadhani barua zote wanazopokea wanaleta humu kwenye mitandao ya jamii?
Kwani mpaka waandike, kitendo ya Yanga kwenda uwanjani maana yake hawakupata barua OFFICIALLY.Sasa wewe unataka system ya kuendesha club ya Insta ya Kolo FC iwe sawa na Yanga? Taasisi kubwa haifanyi kazi kupitia Insta na hamna taasisi hiyo labda kwenu.

Mitandao ya jamii inaweka baada ya barua kupokelewa na kujadiliwa na viongozi then ndio inawekwa insta au msemaji atasema tumopokea barua.
 
Kwani ile barua ilindikwa na Ahmed au baada ya Decision makers kukaa kikao?

Imeanza kutoka barua then ikaja kauli ya mmoja wa Decision makers wenu, ina maana Magoli anapayuka?
Umesema barua inasema kile kile alichosema Magori, tupe uthibitisho wa kauli yako.
 
Hujua hata unachotetea ndio maana wenye akili wameamua kukupuuza,nami naungana nao kukupuuza
Hata hiko ulicho kiandika wewe labda uwe na akili za kidaku kama chawa wanaoshinda Insta maana ndio ofisi zao zilipo ndio watakuelewa ila kitaasisi watakuona kituko.
 
Umesema barua inasema kile kile alichosema Magori, tupe uthibitisho wa kauli yako.
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Hujanijibu.Ila kama kaandika Ahmed haina hajaya kuendelea na huu mjadala.

Narudia tena kama Magoli ni decison makers kila kauli yake ina maana na imebeba ujumbe na mamuzi ya club yenu.
 
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Hujanijibu.Ila kama kaandika Ahmed haina hajaya kuendelea na huu mjadala.

Narudia tena kama Magoli ni decison makers kila kauli yake ina maana na imebeba ujumbe na mamuzi ya club yenu.
Unashindwa nini kuthibitisha kauli yako kuwa alichosema Magori ndiyo kipo kwenye barua ya Simba?

Haya barua hii hapa nakusaidia kuileta, tuonyeshe wapi katika barua hii inasema Simba haitaendelea na ligi kusapoti kauli yako.

1000059380.jpg
 
Unashindwa nini kuthibitisha kauli yako kuwa alichosema Magori ndiyo kipo kwenye barua ya Simba?

Haya barua hii hapa nakusaidia kuileta, tuonyeshe wapi katika barua hii inasema Simba haitaendelea na ligi kusapoti kauli yako.

View attachment 3267738
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Hujanijibu.Ila kama kaandika Ahmed haina hajaya kuendelea na huu mjadala.
 
Tatizo lilianza pale waamini ushirikina walipoenda kuzuia Simba isiingie uwanjani kufanya mazoezi!

Bila TFF kuchkua hatua kali tabia chafu kama hizi zitaendelea kutuharibia mpira,walipata wapi mamlaka hayo?
 
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Hujanijibu.Ila kama kaandika Ahmed haina hajaya kuendelea na huu mjadala.
Hautaki kuendelea na mjadala kwa sababu hauna hoja. Umesema kauli ya Magori inaendana na kilichopo kwenye barua ya Simba, nimekwambia tuonyeshe katika barua hiyo tena ya kurasa moja tu wapi imeandikwa kuwa Simba haitaendelea na ligi ili kusapoti kauli yako umeshindwa kufanya hivyo, badala yake unabwabwaja tu.
 
Hautaki kuendelea na mjadala kwa sababu hauna hoja. Umesema kauli ya Magori inaendana na kilichopo kwenye barua ya Simba, nimekwambia tuonyeshe katika barua hiyo tena ya kurasa moja tu wapi imeandikwa kuwa Simba haitaendelea na ligi ili kusapoti kauli yako umeshindwa kufanya hivyo, badala yake unabwabwaja tu.
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Nijibu hilo na najua kwa nini hutaki kujibu.Sababu najua hoja yangu juu ya kauli ya Magoli.

Ila kama kaandika Ahmed haina haja ya kuendelea na huu mjadala.
 
Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Nijibu hilo na najua kwa nini hutaki kujibu.Sababu najua hoja yangu juu ya kauli ya Magoli.

Ila kama kaandika Ahmed haina haja ya kuendelea na huu mjadala.
Unakimbia mjadala kwa sababu unabwabwaja bila kuwa na vielelezo vya kusapoti kauli zako.
 
Unakimbia mjadala kwa sababu unabwabwaja bila kuwa na vielelezo vya kusapoti kauli zako.
Sijakimbia mjadala najua huwezi kunijibu.

Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Nijibu hilo na najua kwa nini hutaki kujibu.Sababu najua hoja yangu juu ya kauli ya Magoli.

Ila kama kaandika Ahmed haina haja ya kuendelea na huu mjadala.
 
Sijakimbia mjadala najua huwezi kunijibu.

Ninekuuliza barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaaa kikao ? Nijibu hilo na najua kwa nini hutaki kujibu.Sababu najua hoja yangu juu ya kauli ya Magoli.

Ila kama kaandika Ahmed haina haja ya kuendelea na huu mjadala.
Umeamua kucopy na kupaste post ile ile kuashiria tayari unakimbia mjadala.

Siku nyingine ukiniona kimbia maana nitaendelea kukuaibisha kila siku.
 
Yanga hawana adabu kabisa wanaipanda kichwani Bodi ya Ligi na TFF, ngoja tuone mwisho wa hili chezo

Akili hawana, hasa viongozi wao, mimi nilishangaa Bodi ya ligi imetoa taarifa ya kuhairisha mechi halafu wao wakapeka timu uwanjani, watu bado wanajiuliza kilichotokea, wamepeleka basi Mo Arena, wakidai ni utani, hakuna utani wa staili hizo kwenye wakati wa taharuki, na pia utani uko kwa mashabiki na sio watu wa management, wangeweza kudhurika na sijui wangesemaje! Wanjitia ubabe usio na maana yoyote, subiri uone kitakachotokea, hawatakaa waamini!
 
Umeamua kucopy na kupaste post ile ile kuashiria tayari unakimbia mjadala.

Siku nyingine ukiniona kimbia maana nitaendelea kukuaibisha kila siku.
Nikimbie mjadala ili iweje? Nimekuuliza ile barua kaandika Ahmed au imeandikwa baada ya decision makers kukaa kikao?
 
Back
Top Bottom