Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Kama unaitambua kauli ya mtu aliyoitoa mtandaoni, hata kama ni kiongozi, lakini amesema maneno ambayo hayapo katika barua rasmi unayoitambua ya klabu, inakuwaje unasema hautambui barua rasmi ya bodi ya ligi kisa umeisoma mtandaoni?

Inakuwaje unachagua kipi cha kutambua na kipi si cha kutambua?

Inakuwaje kauli ya mtu mmoja unaipa uzito kuliko barua rasmi ya taasisi?

Ukiweza kuyajibu hayo maswali naamini hoja zako zitayeyuka kama mvuke.
Sasa mimi kuisoma barua mtandaoni ni sawa na taasisi kama Yanga?Yanga inaofisi walicho tegemea ni barua officials iliyofuata taratibu.

Nani kachagua cha kutambua.Kauli ya mtu mmoja inafanana na kile kilicho andikwa kwenye barua na tena ni decision maker wa klabu yenu,maana yake yale ni maamuzi ya club.
 
Sasa mimi kuisoma barua mtandaoni ni sawa na taasisi kama Yanga?Yanga inaofisi walicho tegemea ni barua officials iliyofuata taratibu.

Nani kachagua cha kutambua.Kauli ya mtu mmoja inafanana na kile kilicho andikwa kwenye barua na tena ni decision maker wa klabu yenu,maana yake yale ni maamuzi ya club.
Hawawezi kukuelewa hao mbumbumbu
 
Barua Ref:No YASC/TPLB/M. 184/2025/ 201
Yanga imeandikia Bodi ya ligi rasmi barua yenye kurasa 5, kuomba alama 3 na magoli 3 na kutaka fidia za maandalizi ya mchezo kiasi cha Tshs 56,435,000. Ambazo zimeainishwa kwenye kipengele namba 17 kwenye barua yenye vipengele 19

Katika kipengele namba 18 wamesisitiza kuwa hawako tayari kuicheza mechi namba 184 katika msimu huu. Na kwamba mechi ilihairishwa Kwa makosa ya maksudi ya Simba Kwa hiyo wanastahili alama 3

Mwisho Yanga wanasisitiza kama madai Yao ya kupewa alama 3 na magoli 3 pamoja na fidia ya maandalizi ya mchezo.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Na kama madai hayo hayatazingatiwa, Yanga hawatasita kulipeleka suala hii katika mamlaka ya juu zai

Barua hii imewasirishwa tarehe 10 March, 2025

Imeandikwa na Andre Mtine
Mtendaji mkuu Young Africans sc
Ningeiomba wizara ya michezo iishauri TFF kuvunja body ya ligi na kamati ya masaa 72 kutengeneza harmony kwanza, mambo mengine yatafuata!
 
Sasa mimi kuisoma barua mtandaoni ni sawa na taasisi kama Yanga?Yanga inaofisi walicho tegemea ni barua officials iliyofuata taratibu.

Nani kachagua cha kutambua.Kauli ya mtu mmoja inafanana na kile kilicho andikwa kwenye barua na tena ni decision maker wa klabu yenu,maana yake yale ni maamuzi ya club.
Hakuna sehemu kwenye barua ya Simba iliyosema haitaendelea na ligi.
 
Kauli ya mtu mmoja inafanana na kile kilicho andikwa kwenye barua na tena ni decision maker wa klabu yenu,maana yake yale ni maamuzi ya club.
ACHA UPOTOSHAJI! ONYESHA SEHEMU KATIKA BARUA YA SIMBA WALIPOSEMA HAWATAENDELEA NA LIGI!
 
Utaijua hapohapo FIFA huko CAS iende ikachomewe TFF na BOdi ya Ligi inayoongozwa na watu wapumbavu wasiojua kufuata kanuni zinavyosema
YANGA MKIENDA HUKO CAS,FIFA MTAKUWA MMEJIKAMATISHA ,SABABU MNA KESI KIBAO ZA MADAI HUKO MAHAKAMA ZA MICHEZO.

WACHEZAJI KIBAO WANAWADAI NA MALALAMIKO YAPO HUKO.
 
Barua Ref:No YASC/TPLB/M. 184/2025/ 201
Yanga imeandikia Bodi ya ligi rasmi barua yenye kurasa 5, kuomba alama 3 na magoli 3 na kutaka fidia za maandalizi ya mchezo kiasi cha Tshs 56,435,000. Ambazo zimeainishwa kwenye kipengele namba 17 kwenye barua yenye vipengele 19

Katika kipengele namba 18 wamesisitiza kuwa hawako tayari kuicheza mechi namba 184 katika msimu huu. Na kwamba mechi ilihairishwa Kwa makosa ya maksudi ya Simba Kwa hiyo wanastahili alama 3

Mwisho Yanga wanasisitiza kama madai Yao ya kupewa alama 3 na magoli 3 pamoja na fidia ya maandalizi ya mchezo.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Na kama madai hayo hayatazingatiwa, Yanga hawatasita kulipeleka suala hii katika mamlaka ya juu zai

Barua hii imewasirishwa tarehe 10 March, 2025

Imeandikwa na Andre Mtine
Mtendaji mkuu Young Africans sc
yaass!!!twende sasa chama langu yanga,mpk tuwatoe damu
 
Wameishiwa pumzi yaan kuzingua wazingue wenyewe sasa hivi wanatapatapa nani aliwaambia wahaiarishe mechi na asubuhi walisema mechi ipo palepale, wewe Steve Mngeto si asubuhi ulihojiwa ukasema gemu ipo palepale tukutane kwa Nkapa? Mchana linatoka barua watu washajiandaa haya walipeni sasa
Hakuna ushahidi wowote kua walisema mechi itakuepo. Barua yao ni moja iliyotoka saa sita mchana ya kuahirisha mechi
 
kuna uhuni kuzidi kwenda sehemu na mbuzi bila taarifa
YANGA MKIENDA HUKO CAS,FIFA MTAKUWA MMEJIKAMATISHA ,SABABU MNA KESI KIBAO ZA MADAI HUKO MAHAKAMA ZA MICHEZO.

WACHEZAJI KIBAO WANAWADAI NA MALALAMIKO YAPO HUKO.
 
Pengine hata huelewi kinachoendelea. Yanga hana muda wa kusubiri uamuzi wowote kwa sababu alishaweka wazi mapema kwamba hatacheza mechi nyingine ya ligi kuu na Simba kwa sababu hakukua na kanuni iliyosababisha mechi hiyo kuahirishwa.

Kwahiyo hiki ni kielelezo kingine Yanga ndio msimamia kanuni mkuu kuliko timu nyingine zote. Hayo ni madai ambayo bodi ya ligi kuu haina haja ya kutumia muda mwingi kufanya maamuzi zaidi ya kutoa point 3
We kilaza acha ujinga , Point 3 sahau Hilo haujatimiza kigezo hata Kimora cha kupewa Point 3.

Yani Hilo halitawez3kana abadan kupewa Point 3 sahau kabisa akilini mwako.
 
Back
Top Bottom