Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kulaaaa mtoriBasi hapo vyura mnaona pesa za bure ziiileee hadi udenda unawatoka.
Hawapati hata senti. Katika hiyo milioni 58 watuambie ngapi walishampa Arajiga? Watuambie ngapi ni malipo kwa wale wahuni wa getini.
Kwani waliowafungulia geti lisilo rasmi mkaingia kama wahuni si ni hao hao?
Nyama ziko chiniii