Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yaani imefika hatua wenye timu wanakua kama wendawazimu. Wanafuata pressure na mihemko tu, bila kauangalia kwa mapana
 
Hiki kinachofanywa na Yanga sasa kwa maoni ya mashabiki wa SImba wanaona ni ujinga. Ila ule uhuni waliofanyawao wanaona ni sahihi.
Hiki mnachotaka kuhalalisha wakifanya wengine mnaona ni uhuni.
Naamini kuwa shabiki wa SImba ni kipaji aisee.
nlikuwa naikubal Yanga ila nmeshangazwa na baadhi ya tabia za watu wa Yanga , ni kama vile wapo karne ya 2 ilihali mtu yupo karne ya 21 , Simba walikuwa kweny haki yao kwenda kufanya mazoez na watu wa Yanga wangekuwa na dukuduku wangewasilisha maoni yao kwa TFF ila mkafanya fujo na bado uongoz wa Yanga unaona ni sahihi yale yamefanywa na watu wao maan uongoz wa Yanga haujakemea kuhusu lile tukio , ina maana uongox wa Yanga ni akili moja na wale mabaunsa wa drs la 7 C kuwa Simba alienda kuroga na sio kufanya mazoez .

Achana na hii pili , Mabaunsa wa Yanga tumewaona mara kadhaa wakipiga watu msimu huu , kituko TFF walikuwa kimya , Uongoz wa Yanga nao walikuwa kimya , ni msemaj wa simba tu ndo akitoa kaul ya kukemea

HAPA TUNAAMIN PALE YANGA WENYE AKILI JI WAWILI TU

IFIKE MUDA MASHABIKI WA YANGA MUANZE KUBEHAVE KAMA WANADAMU WENYE UBONGO KICHWAN

UCHAWI HAUCHEZ MPIRA , MPIRA NI UWEKEZAJ , UONGOZ WA YANGA UNAWAPUMBAZA SANA MASHABIKI WA YANGA KWA KUKALIA KIMYA HIZI DHANA ZA OVYO
 
Swali, je? Hizo wanazitaka ni kwa ajili ya kuwafidia mashabiki au ni kwa ajili ya club? Hata hivyo sioni wakitoboa kwenye hili labda points
 
TFF wafungue kesi pia ya watendaj wa Yanga kuleta fujo kweny ligi yetu kwa kupiga mashabiki na waandishiwa habari kisha kuvamia viwanja kuzuia watu wasifanye mazoez pia uongoz wa Yanga hawaja wai hata kemei tendo moja kati ya haya watu wamekuwa wanafanya kweny mpira wa Tz
Mtendaji Gani wa Yanga alikuwa pale uwanjani?
 
Simple.

Majibu ya swali lako.
Tumeenda uwanjani, hatukupata taarifa OFFICIALLY,Tunahaki ya kudai points zetu tatu hata kama kamisaa hakuja, sasa hapo TFF watupe sababu ya kikanuni kwa nini mechi ilifutwa na kwa nini wao hawakuleta hao Makamisaa, sisi kwa upande wetu tumetimiza wajibu wetu,kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine. Ndio maana kwenye hiyo barua tumetoa tunacho kitaka.

Au unazani Yanga haina haki ya kuiwajibisha TFF hata kama TFF wakikosea?
Hamkuwa hata na jezi zinazotambulika na TFF, mlijiandaa kucheza mechi ipi hiyo? Halafu unasema mlitimiza wajibu wenu wakati jezi tu mlishindwa kuwa nazo.
Leoo nimecheka sanaa kaulizwa mouuzi MMOJA WA BODI magutti sijui

YANGA wamesema hawatachezana wanataka pt tatu na WATAENDA popote kuzidai

Akadai anaomba YANGA wawe wapole hatujatoaanmamuzi ya mwishoo

Wakaulizwa mbona kwenye BARUA YENU mmeshandika mtataja tar ya mechi kurudiwa nnejuaje itahitajika kurudiwa alivyo fala akakata simu
Kwani kama kwa tafsiri yako ile barua ndiyo imetaja kuwa uamuzi wa mwisho umeshafanyika, basi tuambie wewe hiyo tarehe ya mechi ya marudiano.
Ukae kwa kutulia wewe ukae kwaa kutulia kabisa wale Mbuzi na Kuku mlikua mnawapeleka kufanya nini uwanjani na vizee vyenu vyenye macho mekundu?
Kama mmefikia hatua ya kutunga stori za mbuzi, kuku na vizee ni dhahiri kuwa mmeshtukia kuwa mmeingia cha kike. Kwanza wanaume gani nyie mnaogopa mbuzi? Mnaogopa kuku? Mnaogopa wazee? Ndiyo maana tabia zenu nyingi zina ukakasi.
Wale watu wenu wenyewe msisingizie Yanga. Nyie jamaa mnakera sana na uhuni wenu mnatuharibia mpira.
Kama mmefikia levo za kuwakana mabausa wenu ni dhahiri mmeshashtukia mmeingia cha kike.
 
nlikuwa naikubal Yanga ila nmeshangazwa na baadhi ya tabia za watu wa Yanga , ni kama vile wapo karne ya 2 ilihali mtu yupo karne ya 21 , Simba walikuwa kweny haki yao kwenda kufanya mazoez na watu wa Yanga wangekuwa na dukuduku wangewasilisha maoni yao kwa TFF ila mkafanya fujo na bado uongoz wa Yanga unaona ni sahihi yale yamefanywa na watu wao maan uongoz wa Yanga haujakemea kuhusu lile tukio , ina maana uongox wa Yanga ni akili moja na wale mabaunsa wa drs la 7 C kuwa Simba alienda kuroga na sio kufanya mazoez .

Achana na hii pili , Mabaunsa wa Yanga tumewaona mara kadhaa wakipiga watu msimu huu , kituko TFF walikuwa kimya , Uongoz wa Yanga nao walikuwa kimya , ni msemaj wa simba tu ndo akitoa kaul ya kukemea

HAPA TUNAAMIN PALE YANGA WENYE AKILI JI WAWILI TU

IFIKE MUDA MASHABIKI WA YANGA MUANZE KUBEHAVE KAMA WANADAMU WENYE UBONGO KICHWAN

UCHAWI HAUCHEZ MPIRA , MPIRA NI UWEKEZAJ , UONGOZ WA YANGA UNAWAPUMBAZA SANA MASHABIKI WA YANGA KWA KUKALIA KIMYA HIZI DHANA ZA OVYO
Yanga haina mabaunsa
Yanga haina watendaji mabaunsa.
Hao mabaunsa walikuja nao Simba na kujifanya ni watu wa Yanga ili wakimbie mchezo
 
Mtendaji Gani wa Yanga alikuwa pale uwanjani?
kwa akil yako ya drs la 7 B hujui wale mabaunsa ni waajiliwa wa Yanga ? je unataka watu wauliwe ndo ukemee ?

Ukiitwa nyan unaita watu wabaguz , kwamba mpk umuone GSM anazuia mtu kuingia uwanjan ndo ukumbuke kukemea

MPIRA NI BURUDANI NA SIO FUJO

WATU WA YANGA MNAHISI MPIRA NI VITA

HIZ FUJO MKAWAFANYIE CCMU WANAOIBA FUTURE YENU
 
hukemei fujo za watu wako unataka watu wawavumilie kwa wendawazimu wenu ? MLIANZA PIGA MASHABIKI , KISHA KUZUIA WATU KUHOJIWA LEO MNAZUIA MAZOEZ

HV YANGA NAN ALIWAROGA ?
Sababu Wana adhabu xao zinaawasubiria
 
kwa akil yako ya drs la 7 B hujui wale mabaunsa ni waajiliwa wa Yanga ? je unataka watu wauliwe ndo ukemee ?

Ukiitwa nyan unaita watu wabaguz , kwamba mpk umuone GSM anazuia mtu kuingia uwanjan ndo ukumbuke kukemea

MPIRA NI BURUDANI NA SIO FUJO

WATU WA YANGA MNAHISI MPIRA NI VITA

HIZ FUJO MKAWAFANYIE CCMU WANAOIBA FUTURE YENU
Acha kuwa mbumbumbu
Nimekwambia kwenye watendaji wa Yanga
Yanga haina kitengo cha mabaunsa
Yanga Huwa wanachukua ulinzi wa police

Yaani hao mabaunsa wazuie vip msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Ajiulize hili swali we mbumbumbu
 
Yanga haina mabaunsa
Yanga haina watendaji mabaunsa.
Hao mabaunsa walikuja nao Simba na kujifanya ni watu wa Yanga ili wakimbie mchezo
hv unahisi hatuwajui hao , uzur video zipo na ndo wale wale wamekuwa wanapiga watu mara kwa mara. TFF waoga sana ilibid waanze na hao was3ng , wanataka jenga tabia ya hovyo hapa Tz , itafika wakat watu wataanza ogopa kwenye kuangalia mechi na hii itakimbiza wadhamin na kuua ligi kabisa

YANGA TUMIENI AKILI ZENU VZR
 
Acha kuwa mbumbumbu
Nimekwambia kwenye watendaji wa Yanga
Yanga haina kitengo cha mabaunsa
Yanga Huwa wanachukua ulinzi wa police

Yaani hao mabaunsa wazuie vip msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Ajiulize hili swali we mbumbumbu
huna Tv kwani ? watu wa Yanga dish limeyumba , badala ya kukemea huo uhuni wew bado unaonesha kushabikia matukio ya kiharifu , najua huna akili ya kuona hata kesho yako ila tambua , tabia ukomaa kama uyoga
 

Attachments

  • Snaptik.app_7479415627195747590.mp4
    3.4 MB
Barua Ref:No YASC/TPLB/M. 184/2025/ 201
Yanga imeandikia Bodi ya ligi rasmi barua yenye kurasa 5, kuomba alama 3 na magoli 3 na kutaka fidia za maandalizi ya mchezo kiasi cha Tshs 56,435,000. Ambazo zimeainishwa kwenye kipengele namba 17 kwenye barua yenye vipengele 19

Katika kipengele namba 18 wamesisitiza kuwa hawako tayari kuicheza mechi namba 184 katika msimu huu. Na kwamba mechi ilihairishwa Kwa makosa ya maksudi ya Simba Kwa hiyo wanastahili alama 3

Mwisho Yanga wanasisitiza kama madai Yao ya kupewa alama 3 na magoli 3 pamoja na fidia ya maandalizi ya mchezo.

Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

Na kama madai hayo hayatazingatiwa, Yanga hawatasita kulipeleka suala hii katika mamlaka ya juu zai

Barua hii imewasirishwa tarehe 10 March, 2025

Imeandikwa na Andre Mtine
Mtendaji mkuu Young Africans sc
Wakawadai wahuni waliowatuma dadeeki wamekwisha!
 
Sio inaonesha Bali jua ya kwamba siku zote timu hii imekua na wajinga wengi kuanzia uongozi Hadi huku kwa mashabiki, na zaidi viongozi Wana kiburi, ujeuri, dharau kwa mamlaka za mpira ikiwemo tff na bodi ya ligi..sasa nawaambia Hawa wajinga na ubabe wao na kiburi , kitakachotokea ni hiki, kwenye hizi futari futari za kitaifa ambazo watu wa serikali wanakuepo kuanzia rais au waziri wakuu ama naibu wake ama makamu wa rais, mmoja wao atasema au atamwambia mzee wangu Karia kua naitaji kua mgeni rasmi katika mechi ya Derby , ghafla tarehe itapangwa na mgeni rasmi (mtu mkubwa) anasema atakuepo, Sasa wewe unayesema huleti timu mara hutacheza basi tuone usilete timu
vipi mgeni rasmi akizomewa mwanzo mwisho na washabiki

vipi mgeni rasmi akiwa chanzo cha mashabiki wa yanga kuhamia upinzani na kuingia na picha za TL

Umewah yafikiria haya ama akili yako inawaza tu mgeni rasmi ataingia kwa raha na kutoka kwa raha
 
huna Tv kwani ? watu wa Yanga dish limeyumba , badala ya kukemea huo uhuni wew bado unaonesha kushabikia matukio ya kiharifu , najua huna akili ya kuona hata kesho yako ila tambua , tabia ukomaa kama uyoga
kuna uhuni kuzidi kwenda sehemu na mbuzi bila taarifa
 
Nasema hivi, mechi ipo, tarehe itapangwa na mgeni rasmi atakua (mtu mkubwa nchi hii) Mimi sjui nani, Sasa nyinyi msilete timu tuone nani ni mkubwa kati yenu na serikali...
Huyo mtu mkubwa hamuwezi kumuingiza choo cha kiume hata siku moja. Anajitambua yule, the same to washauri wake.
 
Sheria zinawataka wawape MASAA kadhaa na wasipojibiwa wanaenda caf Wana cc fifa
CAF Nako kuna siku kadhaa wasipotia msimamo Wana Ngoma inogile inaitwa cas huko fiffa huko hawatumii condom n helà yako tu

Tff inayoshtakiwa inalipa doller kadhaa na wewe mshtaki doller kadhaa

Anashinda anamlipa mwenzie pesa alizotoaa..na kule 5 days mnapokea zigoo LENU kana hawana kesi nyingi
Basi hapo vyura mnaona pesa za bure ziiileee hadi udenda unawatoka.
Swali, je? Hizo wanazitaka ni kwa ajili ya kuwafidia mashabiki au ni kwa ajili ya club? Hata hivyo sioni wakitoboa kwenye hili labda points
Hawapati hata senti. Katika hiyo milioni 58 watuambie ngapi walishampa Arajiga? Watuambie ngapi ni malipo kwa wale wahuni wa getini.
Acha kuwa mbumbumbu
Nimekwambia kwenye watendaji wa Yanga
Yanga haina kitengo cha mabaunsa
Yanga Huwa wanachukua ulinzi wa police

Yaani hao mabaunsa wazuie vip msafara wa Simba uliosindikizwa na police?
Ajiulize hili swali we mbumbumbu
Kwani waliowafungulia geti lisilo rasmi mkaingia kama wahuni si ni hao hao?
 
Yanga kama timu inajitekenya na hapo hapo ili kujichekesha. Nasisitiza ni Yanga kama timu na si mashabiki. Uongozi punguzen kukurupuka na maandiko matamko kila kukicha kwa matarajio ya kuinfluence uamuzi wa bodi ya ligi ilhali uamuzi bado haujatolewa.
Pengine hata huelewi kinachoendelea. Yanga hana muda wa kusubiri uamuzi wowote kwa sababu alishaweka wazi mapema kwamba hatacheza mechi nyingine ya ligi kuu na Simba kwa sababu hakukua na kanuni iliyosababisha mechi hiyo kuahirishwa.

Kwahiyo hiki ni kielelezo kingine Yanga ndio msimamia kanuni mkuu kuliko timu nyingine zote. Hayo ni madai ambayo bodi ya ligi kuu haina haja ya kutumia muda mwingi kufanya maamuzi zaidi ya kutoa point 3
 
Back
Top Bottom