Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Hiki kinachofanywa na Yanga sasa kwa maoni ya mashabiki wa SImba wanaona ni ujinga. Ila ule uhuni waliofanyawao wanaona ni sahihi.
Hiki mnachotaka kuhalalisha wakifanya wengine mnaona ni uhuni.
Naamini kuwa shabiki wa SImba ni kipaji aisee.
Nasema hivi, mechi ipo, tarehe itapangwa na mgeni rasmi atakua (mtu mkubwa nchi hii) Mimi sjui nani, Sasa nyinyi msilete timu tuone nani ni mkubwa kati yenu na serikali...
 
😁😁😁😁😁😁 Hatari sana! Sasa si walipeleke tu huko moja kwa moja, haina haja ya kusubiria hayo masaa.
Sheria zinawataka wawape MASAA kadhaa na wasipojibiwa wanaenda caf Wana cc fifa
CAF Nako kuna siku kadhaa wasipotia msimamo Wana Ngoma inogile inaitwa cas huko fiffa huko hawatumii condom n helà yako tu

Tff inayoshtakiwa inalipa doller kadhaa na wewe mshtaki doller kadhaa

Anashinda anamlipa mwenzie pesa alizotoaa..na kule 5 days mnapokea zigoo LENU kana hawana kesi nyingi
 
Na sio hioo tu

Mwisho wameandika tutawatajia tar ya mechi kurudiwa wamejuaje mechi unatakiwa kurudiwa mbwa wale washenzi
Wameishiwa pumzi yaan kuzingua wazingue wenyewe sasa hivi wanatapatapa nani aliwaambia wahaiarishe mechi na asubuhi walisema mechi ipo palepale, wewe Steve Mngeto si asubuhi ulihojiwa ukasema gemu ipo palepale tukutane kwa Nkapa? Mchana linatoka barua watu washajiandaa haya walipeni sasa
 
Bodi ya Ligi inayoongozwa na wajinga wapumbavu shenzi zao ile Barua wangejua wasingeonyesha majina yao walioidhinishaa ule ujinga Almasi Kasongo na Steve Mngeto wamezingua wachomoke haraka wapishe zile nafasi pamoja kamati yao ya kiduanzi
Wangese woteeeee
https://jamii.app/JFUserGuide them
 
Yanga hawana adabu kabisa wanaipanda kichwani Bodi ya Ligi na TFF, ngoja tuone mwisho wa hili chezo
 
Hii klabu mbona inatapatapa hivi? Barua kila kukicha utadhani hawana kazi nyingine za kufanya.

Mpaka mseme wale wahuni waliokaa pale getini walitumwa na nani.
Haya majitu hamnazo timu imejaza magumbaru wanahisi Watanzania wote tunawazq Yanga na Smba wengine hatuna timu,kwann wasiwaige Simba Angalau wanaonesha kujitambua kidogo
 
Leo baadhi yao wameanza kukananaa kwenye BODI patamu
 
Back
Top Bottom