Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Nikuchoshoshe kwani nimekuita humu JF? Unajipa umuhimu wakati sikufahamu.

Aliyepayuka kiongozi wenu, kutoka kwenye management yenu ambaye ni decision maker wenu.
Haushangai hamna mtu anaongelea post ya Magori isipokuwa wewe tu umeikomalia toka juzi? Embu jishangae basi kidogo labda akili itakurudia.
 
Haushangai hamna mtu anaongelea post ya Magori isipokuwa wewe tu umeikomalia toka juzi? Embu jishangae basi kidogo labda akili itakurudia.
Kwani ameongea haja ongea? Wewe vip sipo humu kumrizisha mtu,inawezekana udogo wako wa akili unashindwa kuelewa ninacho kiandika,sio kosa lako.
 
Kwani ameongea haja ongea? Wewe vip sipo humu kumrizisha mtu,inawezekana udogo wako wa akili unashindwa kuelewa ninacho kiandika,sio kosa lako.
Hakuna chochote cha maana unachoongea, unamwaga pumba tu na mashudu. Dunia nzima ni wewe pekee unaongelea post ya Magori. Hata vyura wenzio wamekuchunia. Unajaribu kuwavuta hawavutiki, wanakuangalia kama punguani tu.

Simba imetoa kauli rasmi kwa njia ya maandishi kwenda Bodi ya Ligi na TFF na msemaji wa klabu katoa kauli kuwa Simba inajiandaa kucheza na Dodoma Jiji. Full Stop. Unataka nini kingine?
 
Hakuna chochote cha maana unachoongea, unamwaga pumba tu na mashudu. Dunia nzima ni wewe pekee unaongelea post ya Magori. Hata vyura wenzio wamekuchunia. Unajaribu kuwavuta hawavutiki, wanakuangalia kama punguani tu.

Simba imetoa kauli rasmi kwa njia ya maandishi kwenda Bodi ya Ligi na TFF na msemaji wa klabu katoa kauli kuwa Simba inajiandaa kucheza na Dodoma Jiji. Full Stop. Unataka nini kingine?
Huwezi kuona sababu akili ujazo wa kisoda,mimi mwenye hiki unacho kiandika hakieleweki. Nitake kingine kwako ili iweje.....?

Aliye payuka kiongozi wenu.
 
Huwezi kuona sababu akili ujazo wa kisoda,mimi mwenye hiki unacho kiandika hakieleweki. Nitake kingine kwako ili iweje.....?

Aliye payuka kiongozi wenu.
Sasa ndiyo umeandika nini? Umeshapagawa wewe
 
Sio kosa lako akili soda.
Mbona kama unaagaaga kimtindo, tuendelee....

Bado jumuiya ya JF inasubiri na kukutaka utuletee uthibitisho wa kauli yako kuwa alichozungumza Magori ndiyo kilichopo kwenye barua. Nakupa masaa 72 utuletee huo uthibitisho.
 
Mbona kama unaagaaga kimtindo, tuendelee....

Bado jumuiya ya JF inasubiri na kukutaka utuletee uthibitisho wa kauli yako kuwa alichozungumza Magori ndiyo kilichopo kwenye barua. Nakupa masaa 72 utuletee huo uthibitisho.
Nikuogope ww wewe iliniweje? naitizama Yanga, yaani niache kuangalia Yanga kwa sababu ya mashudu yako.
 
Kiazi kweli ndio Kolo wenzio wanavyo kudaganya.
Sihitaji mtu kuniambia wakati najionea mwenyewe. Wewe unadhani mtu akipitia haya majadiliano kwenye uzi huu atapata picha gani zaidi ya kukudharau?
 
Kweli we Kolo,sasa nitawekaje hapa kitu ambacho hawajapokea?

Ndio maana wameenda uwanjani.
Na we kweli chura, huna taarifa ya viongozi wa utopwinyo kukana kupokea taarifa halafu unasema hawakupokea taarifa yaani unawafanya viongozi wako wawe viroboto kabisa.

Weka hapa kanusho la utopwinyo kupokea barua, kama halipo sema halipo....

Utopwinyo mna utoto mwingi sana nyie 🐸🐸
 
Haki haiombwi, inadaiwa na kupiganiwa.
Yanga wapo tayari kuidai na kuipigania haki yao!!?

Nadhani hii "saga" ilitakiwa itufumbue macho Watanzania kuhusu taasisi zetu kuendeshwa na watu wasio na weledi pamoja na uzalendo zaidi ya kujali maslahi yao binafsi.
 
Na we kweli chura, huna taarifa ya viongozi wa utopwinyo kukana kupokea taarifa halafu unasema hawakupokea taarifa yaani unawafanya viongozi wako wawe viroboto kabisa.

Weka hapa kanusho la utopwinyo kupokea barua, kama halipo sema halipo....

Utopwinyo mna utoto mwingi sana nyie 🐸🐸
We kweli kima sasa kama wangekwa na taarifa OFFICIALLY wangepeleka timu uwanjani?

Nyie taasisi yenu si ya kindezi inafanya kazi kupitia Instagram.
 
We kweli kima sasa kama wangekwa na taarifa OFFICIALLY wangepeleka timu uwanjani?
Kima mwenyewe..

Huna kanusho la viongozi kupokea barua hivi aliyetoa tangazo kuwa hawajapokea barua ni nani, hebu mtaje basi tumtathini hapa.
Nyie taasisi yenu si ya kindezi inafanya kazi kupitia Instagram
Wewe mwenyewe ulipokea kanusho la utopwinyo kupokea barua kupitia instagram....

Kati ya wewe na mtoa kanusho via instagram ndio mandezi haswaa.

Na kwa undezi wenu Endeleeni kusubiri ushindi wa meza 🐸🐸wahedz nyie
 
Back
Top Bottom