Yanga wawapa bodi ya ligi masaa 72, kulipwa fidia za michezo na points 3 za mchezo wao dhidi ya Simba

Una uhakika kuwa pale walikuwa baunsa wa Yanga
Na nani alikwambia kuwa Yanga ina mabaunsa
Simba waliandaa vibaka wao wakasema ni WA Yanga
Kwahiyo unandika vitu usivyovijua kumbe hata hufahamu kuwa yanga ina mabaunsa na hata barua ya tff na clip zinazowaonyesha hata hujaziona
Na kwa akili yako finyu ingekuwa hao unao waita vibaka kweli Simba ndio kawatuma
Sasa mbona unakinzana na Yanga....yanga inakubali wale ni watu wao na wasingekuwa watu wa yanga nadhani uongozi wa yanga ungekanusha na Simba ingeshtakiwa kwa kosa Hilo
 
Kama match imehairishwa si lazima irudiwe
 
Mechi mtacheza Kwa kupenda au bila kupenda na hakuna fidia ya supu wala wa kuwabembeleza
 
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
 
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu 🐸🐸
 
Hujui hata kanuni zinasemaje? Huna akili wewe kabisa😂.
Kama kuwa na akili ndio kama hivyo unavyoamini basi kuna shida. Point 3 zina utaratibu wake, acha utopolo kichwa maji.
 
Kama kuwa na akili ndio kama hivyo unavyoamini basi kuna shida. Point 3 zina utaratibu wake, acha utopolo kichwa maji.
Tupe huo utaratibu porojo za nini?.
 
😂😂😂
Nenda TFF watakupa utaratibu.
Tumia simu yako vizuri.
Jinga kabisa hili kolo.... Unasema kuna taratibu za kutoa point 3 afu hujui hata 1?. Puuzi wewe...
 
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu, tumepewa points 3 na mandezi wenzetu kabla hata ya masaa 72, sisi ndio 🐸🐸 wenyewe
 
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu, tumepewa points 3 na mandezi wenzetu kabla hata ya masaa 72, sisi ndio 🐸🐸 wenyewe
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…