joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Don't worry Mr 🐸mtatinga hadi robo fainali ya CRDB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Don't worry Mr 🐸mtatinga hadi robo fainali ya CRDB
Mimi ndio najua mabaraza yenye mzaha. Nitatoka pasipo stahili pale ninapoona hapastahili.Ukiwa kwaresma hupaswi kukaa barazani pa wenye mzaha ndugu maana ukikaa hapo mfungo wako unaharibika
Asante kwa taarifa Mr 🐸Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Asante kwa taarifa Mr 🐸
Kwahiyo unandika vitu usivyovijua kumbe hata hufahamu kuwa yanga ina mabaunsa na hata barua ya tff na clip zinazowaonyesha hata hujazionaUna uhakika kuwa pale walikuwa baunsa wa Yanga
Na nani alikwambia kuwa Yanga ina mabaunsa
Simba waliandaa vibaka wao wakasema ni WA Yanga
Kama match imehairishwa si lazima irudiweUnauhakika haujatolewaaa
Umesomaaa ULE baruaa vizurii??
Wamehairisha kupisha UCHUNGUZI
Hapo HAPO WANAMALIZIA watawajulisha tar ya mechi itakayochezwa........
Wamejuaje mechi lazima irudiwe??
Shame n them
Shame kassongo
Shame mgutti
Mkuu ho Ngoma mbichi hii Ngoma itakuwa sio ti YANGA itasaidia na wapuuzi wengine WALIOKUWA kiichezea BODI kwa kuhonga wawewe mwishowaooo
Mechi mtacheza Kwa kupenda au bila kupenda na hakuna fidia ya supu wala wa kuwabembelezaBarua Ref:No YASC/TPLB/M. 184/2025/ 201
Yanga imeandikia Bodi ya ligi rasmi barua yenye kurasa 5, kuomba alama 3 na magoli 3 na kutaka fidia za maandalizi ya mchezo kiasi cha Tshs 56,435,000. Ambazo zimeainishwa kwenye kipengele namba 17 kwenye barua yenye vipengele 19
Katika kipengele namba 18 wamesisitiza kuwa hawako tayari kuicheza mechi namba 184 katika msimu huu. Na kwamba mechi ilihairishwa Kwa makosa ya maksudi ya Simba Kwa hiyo wanastahili alama 3
Mwisho Yanga wanasisitiza kama madai Yao ya kupewa alama 3 na magoli 3 pamoja na fidia ya maandalizi ya mchezo.
Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba
Na kama madai hayo hayatazingatiwa, Yanga hawatasita kulipeleka suala hii katika mamlaka ya juu zai
Barua hii imewasirishwa tarehe 10 March, 2025
Imeandikwa na Andre Mtine
Mtendaji mkuu Young Africans sc
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandeziTaasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu 🐸🐸Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Hujui hata kanuni zinasemaje? Huna akili wewe kabisa😂.Kanuni zinasemaje kuhusu utaratibu wa kupewa point 3.
Utopolo huwa wanajizima sana.
Kama kuwa na akili ndio kama hivyo unavyoamini basi kuna shida. Point 3 zina utaratibu wake, acha utopolo kichwa maji.Hujui hata kanuni zinasemaje? Huna akili wewe kabisa😂.
Tupe huo utaratibu porojo za nini?.Kama kuwa na akili ndio kama hivyo unavyoamini basi kuna shida. Point 3 zina utaratibu wake, acha utopolo kichwa maji.
Nenda TFF watakupa utaratibu.Tupe huo utaratibu porojo za nini?.
Jinga kabisa hili kolo.... Unasema kuna taratibu za kutoa point 3 afu hujui hata 1?. Puuzi wewe...Nenda TFF watakupa utaratibu.
Tumia simu yako vizuri.
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu 🐸🐸
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu, tumepewa points 3 na mandezi wenzetu kabla hata ya masaa 72, sisi ndio 🐸🐸 wenyeweTaasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi
Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram.Taasisi ya kindezi haina tofauti na page za udaku za Instagram, yanga tu wadau wazoefu Instagram coz tu mandezi wazoefu, tumepewa points 3 na mandezi wenzetu kabla hata ya masaa 72, sisi ndio 🐸🐸 wenyewe