Fafanua, ukali kwenye nini hasa.Jezi Kali sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua, ukali kwenye nini hasa.Jezi Kali sana aisee
Hizo za misimu iliyopita uliwahi kuzisifia?hizi jezi ni mbaya sana, hizi ni taka taka compared to jezi za misimu mitatu nyumba, hizi jezi ni mbaya mbaya mbaya, quality mbovu mbovu sana. hapana kwa kweli.
Sheria Ngowi hajawahi kuwaangusha utopoloo, mumpe maua yake.Wanajitahidi sana kwenye kutengeneza jezi, kwanza ni imara na material yako vizuri. Natarajia Simba nao wapate jezi kali ili kuleta ushindani zaidi.
Nimewaza kama wewe, upindo ungeishia kwenye kola na mikononi tuHuo upindo wa chini ikiwapendeza, wautoe. Haukuwa na ulazima
@Mshana Jr njoo utoe tathimini yako hizi ni nzito au nyepesi?Kwa sisi wenye jicho la 3 huo ni mkosi tukutane msimu ujao
Mwananchi aioonee wivu timu yake mwenyewe?wivu unakusumbua sana
Mama anatupiga mwingi limataifa ≥≥≥ FaizaFoxyRais Samia na Mwenyeji wake Rais Lazarus Chakwera wa Malawi wamezindua Jezi mpya za Yanga aka Wananchi
Ni Katika kutekeleza Ilani ya CCM ya kukuza michezo
Source Ayo tv
Simba ni ACT wazalendo😂😂Iyo mbona inajulikana CCM na Yanga ni mtu na mwanae,Simba wanapambana kivyao bila mbeleko ya chama na serikali.
Simba angefanya vizuri msimu uliopita haya yote angeyafaidi,rudisha nyuma kumbukumbu kipindi Cha JPMSio jambo baya lakini naona ni wakati sasa mama aweke msawazo wa shughuli zake za kuunga mkono michezo. Isije fika mahala watu wakamuona yeye ni wa itikadi fulani.
Aahahaa,wanafanana na rangiSimba ni ACT wazalendo😂😂
ndio.Hizo za misimu iliyopita uliwahi kuzisifia?
Bora hiz kuliko tambala zenu nilizoziona mahaliHamna jezi hapo, hapo ndio level ya mwisho wa ubunifu wa jamaa.
KWA UPANDE WAKO, SIO WENGINEhizi jezi ni mbaya sana, hizi ni taka taka compared to jezi za misimu mitatu nyumba, hizi jezi ni mbaya mbaya mbaya, quality mbovu mbovu sana. hapana kwa kweli.
Kuanzia hapo kwenye neno "lakini" kwenda mbele ndio ujumbe wako,huko nyuma ni bullshit.Mimi mshabiki wa Yanga lakini jezi imenishinda kuvaa....