Yanga wazindua jezi yao nchini Malawi

Yanga wazindua jezi yao nchini Malawi

hizi jezi ni mbaya sana, hizi ni taka taka compared to jezi za misimu mitatu nyumba, hizi jezi ni mbaya mbaya mbaya, quality mbovu mbovu sana. hapana kwa kweli.
Hizo za misimu iliyopita uliwahi kuzisifia?
 
Wanajitahidi sana kwenye kutengeneza jezi, kwanza ni imara na material yako vizuri. Natarajia Simba nao wapate jezi kali ili kuleta ushindani zaidi.
Sheria Ngowi hajawahi kuwaangusha utopoloo, mumpe maua yake.
 
Hamna jezi hapo, hapo ndio level ya mwisho wa ubunifu wa jamaa.
 
IMG_7639.jpg

IMG_7638.jpg



ULALE UNONO
 
Sio jambo baya lakini naona ni wakati sasa mama aweke msawazo wa shughuli zake za kuunga mkono michezo. Isije fika mahala watu wakamuona yeye ni wa itikadi fulani.
 
Back
Top Bottom