Yanga wazindua jezi yao nchini Malawi

Yanga wazindua jezi yao nchini Malawi

Hamna jezi hapo, hapo ndio level ya mwisho wa ubunifu wa jamaa.
Hayo ni maneno ya kila msimu kwa Madundukaz ,walianza msalaaba ,wakaja na ramani ,wakaja vikaragosi ,wakaja majengo na spider web na ule wa kimataifa eti nyoka.

Cha ajabu mauzo yanakuwa makubwa kucompare na matambala yao .
 
Hayo ni maneno ya kila msimu kwa Madundukaz ,walianza msalaaba ,wakaja na ramani ,wakaja vikaragosi ,wakaja majengo na spider web na ule wa kimataifa eti nyoka.

Cha ajabu mauzo yanakuwa makubwa kucompare na matambala yao .
Hii ya msimu huu ni mbovu kuliko ile

Mauzo yanakuwa makubwa kwa data zipi?

Na saizi mmepandisha bei ku boost hela ya faini kwa maana hamuwezi kutangaza usajili mpaka FIFA wakae kikao.

Mnapitia tabu sana ilanajifanya ku show poker face
 
sipendi unafiki hizi rangi za jezi hazivutii kabisa. Nyingine imekuwa kama bendera ya CCM
 
Back
Top Bottom