Yanga ya Ligi kuu ni kama Barcelona ila Ya klabu bingwa ni kama Mashujaa tu. Je jk alikuwa sawa bado inashinda Ligi kwa mbinu sio?

Yanga ya Ligi kuu ni kama Barcelona ila Ya klabu bingwa ni kama Mashujaa tu. Je jk alikuwa sawa bado inashinda Ligi kwa mbinu sio?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Ukiwaangalia yanga Ligi kuu ni kama barca ile ya Moto kabisa. Ya richcard. Aziz ki anakuwa kama gaucho. Pakome ni inesta mtupu, Mzize ndio Eto, mwamnyeto Puyo. Akina nzegeli nddio usiseme.

Sasa watoe nje sasa. Inakuwa timu ya ovyo kabisa. Kama saudi Arabia word cup au Mashujaa ligi kuu.

Lakini simba kinachochezwa ligi ya ndani na kimataifa tunaona kiwango na ubora sawa. Yani pafomance ya yanga ligi kuu ingekuwa ndio ya Simba basi msimu huu simba ingechukua ndoo ya Africa kabisa.

Tuache ushabiki tujadili kiprofesheno kabisa.

Je bado mbinu walizokuwa wanazitumia zamani bado waanazitumia hadi sasa.

Kikwete aliwaambia nyuma huko waache kutumia mbinu chafu kutafuta ubingwa. Kwani hazikuzi soka la Tanzania. Akitaja mbinu hizo kuwa ni.
Kuwahonga marefa
Kuwaonga wakabaji wa upinzani wasiwakabe wafungaji wao kwa umakini. Yani beki kadhaa zinahongwa zisimkabe Pakome, Aziz ki, skudu au Nzegeli.
Kuhonga makipa na ilimtokea mbisa
Kuhonga wafungaji wa timu pinzani wasiwafunge.

Tunataka tuone uwezo wa yanga hasa inapopambana na timu zenye fedha za nje zisizohongeka sasa kama Al ahly, Al hilal, waalgeria na wamoroko.
 
Mkuu yanga inaenda kufanya vizuri kimataifa na hata hapa ndani. Kuhusu mbinu Simba kaongoza kufanya mbinu mzunguko wa kwanza. Na kalalamikiwa mno! Ila hizi timu zote 2 kwenye mzunguko huu wa pili angalia mechi ya Simba dhidi ya Azam zote 2, Simba dhidi ya Kagera kaitaba,dhidi ya yanga mzunguko wa pili then yanga dhidi ya Azam na Simba mzunguko wa pili. Hizo ndo mechi ngumu ambazo sidhani kama zitahitaji mtu kutoa pesa ili kushindwa. Na yanga ana fixture Bora zaidi ya Simba coz kabakisha mechi mbili ngumu tu while Simba ana mechi ngumu nne. Ngoja tuone. Na azam safar hii mzunguko wa pili ela atatoa sana tu
 
Sasa hivi wanaziambia timu ukiifunga tu Yanga tegemea kushuka daraja. Sasa jiulize kumfunga Yanga mechi moja au mbili kunahusiana vipi na kushuka daraja au kufanya vibaya mechi zako zingine
 
Ukiwaangalia yanga Ligi kuu ni kama barca ile ya Moto kabisa. Ya richcard. Aziz ki anakuwa kama gaucho. Pakome ni inesta mtupu, Mzize ndio Eto, mwamnyeto Puyo. Akina nzegeli nddio usiseme.

Sasa watoe nje sasa. Inakuwa timu ya ovyo kabisa. Kama saudi Arabia word cup au Mashujaa ligi kuu.

Lakini simba kinachochezwa ligi ya ndani na kimataifa tunaona kiwango na ubora sawa. Yani pafomance ya yanga ligi kuu ingekuwa ndio ya Simba basi msimu huu simba ingechukua ndoo ya Africa kabisa.

Tuache ushabiki tujadili kiprofesheno kabisa.

Je bado mbinu walizokuwa wanazitumia zamani bado waanazitumia hadi sasa.

Kikwete aliwaambia nyuma huko waache kutumia mbinu chafu kutafuta ubingwa. Kwani hazikuzi soka la Tanzania. Akitaja mbinu hizo kuwa ni.
Kuwahonga marefa
Kuwaonga wakabaji wa upinzani wasiwakabe wafungaji wao kwa umakini. Yani beki kadhaa zinahongwa zisimkabe Pakome, Aziz ki, skudu au Nzegeli.
Kuhonga makipa na ilimtokea mbisa
Kuhonga wafungaji wa timu pinzani wasiwafunge.

Tunataka tuone uwezo wa yanga hasa inapopambana na timu zenye fedha za nje zisizohongeka sasa kama Al ahly, Al hilal, waalgeria na wamoroko.
Yanga hii imemuhonga Manula, Kapombe, Che Malone, Zimbwe, Inonga. Wote hao Waliachia goli moja moja. Na walilipwa kila mmoja Tsh 30,000/=, siunajua tena Simba njaa.
 
Yanga hii imemuhonga Manula, Kapombe, Che Malone, Zimbwe, Inonga. Wote hao Waliachia goli moja moja. Na walilipwa kila mmoja Tsh 30,000/=, siunajua tena Simba njaa.
Hawa hapa mkuu!
 

Attachments

  • Screenshot_20231106-230624_Instagram.jpg
    Screenshot_20231106-230624_Instagram.jpg
    103.2 KB · Views: 3
Ukiwaangalia yanga Ligi kuu ni kama barca ile ya Moto kabisa. Ya richcard. Aziz ki anakuwa kama gaucho. Pakome ni inesta mtupu, Mzize ndio Eto, mwamnyeto Puyo. Akina nzegeli nddio usiseme.

Sasa watoe nje sasa. Inakuwa timu ya ovyo kabisa. Kama saudi Arabia word cup au Mashujaa ligi kuu.

Lakini simba kinachochezwa ligi ya ndani na kimataifa tunaona kiwango na ubora sawa. Yani pafomance ya yanga ligi kuu ingekuwa ndio ya Simba basi msimu huu simba ingechukua ndoo ya Africa kabisa.

Tuache ushabiki tujadili kiprofesheno kabisa.

Je bado mbinu walizokuwa wanazitumia zamani bado waanazitumia hadi sasa.

Kikwete aliwaambia nyuma huko waache kutumia mbinu chafu kutafuta ubingwa. Kwani hazikuzi soka la Tanzania. Akitaja mbinu hizo kuwa ni.
Kuwahonga marefa
Kuwaonga wakabaji wa upinzani wasiwakabe wafungaji wao kwa umakini. Yani beki kadhaa zinahongwa zisimkabe Pakome, Aziz ki, skudu au Nzegeli.
Kuhonga makipa na ilimtokea mbisa
Kuhonga wafungaji wa timu pinzani wasiwafunge.

Tunataka tuone uwezo wa yanga hasa inapopambana na timu zenye fedha za nje zisizohongeka sasa kama Al ahly, Al hilal, waalgeria na wamoroko.
mbumbumbu emu tuposostie misimamo ya makundi klabu bingwa kwa yanga na simba ili tukupime akili vizuri hapa.
 
Ukiwaangalia yanga Ligi kuu ni kama barca ile ya Moto kabisa. Ya richcard. Aziz ki anakuwa kama gaucho. Pakome ni inesta mtupu, Mzize ndio Eto, mwamnyeto Puyo. Akina nzegeli nddio usiseme.

Sasa watoe nje sasa. Inakuwa timu ya ovyo kabisa. Kama saudi Arabia word cup au Mashujaa ligi kuu.

Lakini simba kinachochezwa ligi ya ndani na kimataifa tunaona kiwango na ubora sawa. Yani pafomance ya yanga ligi kuu ingekuwa ndio ya Simba basi msimu huu simba ingechukua ndoo ya Africa kabisa.

Tuache ushabiki tujadili kiprofesheno kabisa.

Je bado mbinu walizokuwa wanazitumia zamani bado waanazitumia hadi sasa.

Kikwete aliwaambia nyuma huko waache kutumia mbinu chafu kutafuta ubingwa. Kwani hazikuzi soka la Tanzania. Akitaja mbinu hizo kuwa ni.
Kuwahonga marefa
Kuwaonga wakabaji wa upinzani wasiwakabe wafungaji wao kwa umakini. Yani beki kadhaa zinahongwa zisimkabe Pakome, Aziz ki, skudu au Nzegeli.
Kuhonga makipa na ilimtokea mbisa
Kuhonga wafungaji wa timu pinzani wasiwafunge.

Tunataka tuone uwezo wa yanga hasa inapopambana na timu zenye fedha za nje zisizohongeka sasa kama Al ahly, Al hilal, waalgeria na wamoroko.
Mkuu we ni shemeji yake Dr Slaa?
 
Kabla sija changia naomba uweke table zao hapa nyumbani na international nione unacho kisema ni kweli au tuna ingizana chaka
Kimataifa yanga kwenye kundi ipo mkiani ikiwa haijashinda mechi yoyote.
Ligi kuu imeshinda kwa kishindo sana mechi 8 kati ya 9. Je nini hasa unahitaji
 
Sasa hivi wanaziambia timu ukiifunga tu Yanga tegemea kushuka daraja. Sasa jiulize kumfunga Yanga mechi moja au mbili kunahusiana vipi na kushuka daraja au kufanya vibaya mechi zako zingine
Mbinu sio
 
We nawe zwazwa tu
Yanga kacheza fainali ya caf confederation cup msimu uliopita
Msimu huu yupo makundi CAFCC
Hata mpira anaocheza huko makundi unaonekana Ni wa kiwango kizuri
Kiwango kizuri iko mkiani. Sasa huo unazungumzia uzuri upi. Kiwango cha timu hupimwa kwa matokeo kaka. Leo ukisema mtibwa ina kiwango kizuri unatakiwa upimwe akili. Wanapiga pasi, wanadrible lakini hawashindi.
 
Back
Top Bottom