Yanga yaanza kumtenga Haji Manara, azungumza bila nembo za klabu na wadhamini wake

Yanga yaanza kumtenga Haji Manara, azungumza bila nembo za klabu na wadhamini wake

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Kama title inavyoonekana, Manara amesitishiwa na klabu yake mamlaka ya kuongea na vyombo vya habari akiwa mbele ya nembo za klabu na wadhamini wake.

Hii ni dalili tosha kwamba Yanga imetii amri ya kumuhusisha Manara na uongozi wa klabu. Natoa pongezi kwa uongozi wa klabu ya wananchi kufikia uamuzi wa kumuacha Manara apambanie haki yake bila klabu kukiuka maagizo ya hukumu

1658821420336.png
 
Tafsiri ya evantar yako kingoni ni uharo mkubwaaa

Sio avatar, ni ID. Na sio Kingoni tu, ni kibantu kwa ujumla, na nilipochagua hiyo ID nilizingatia hilo. Wale walioishi Sumbawanga enzi fulani watanielewa zaidi
 
Kama title inavyoonekana, Manara amesitishiwa na klabu yake mamlaka ya kuongea na vyombo vya habari akiwa mbele ya nembo za klabu na wadhamini wake. Hii ni dalili tosha kwamba Yanga imetii amri ya kumuhusisha Manara na uongozi wa klabu. Natoa pongezi kwa uongozi wa klabu ya wananchi kufikia uamuzi wa kumuacha Manara apambanie haki yake bila klabu kukiuka maagizo ya hukumu

View attachment 2304286
Yanga wameshamchoka wametumia mbinu ya kijasusi kumtema wamemjaza upepo aendelee kuropoka ili akipigwa kabari ya mbao na misumari akafie mbali bila wao kuhusika.

Hii ni njia alitumia mwendazake kumtosa bashite kwa kumruhusu kwenda kugombea ubunge kigamboni huku akijua fika hatatoboa na hadithi ikaishia hapo.
 
Kama title inavyoonekana, Manara amesitishiwa na klabu yake mamlaka ya kuongea na vyombo vya habari akiwa mbele ya nembo za klabu na wadhamini wake.

Hii ni dalili tosha kwamba Yanga imetii amri ya kumuhusisha Manara na uongozi wa klabu. Natoa pongezi kwa uongozi wa klabu ya wananchi kufikia uamuzi wa kumuacha Manara apambanie haki yake bila klabu kukiuka maagizo ya hukumu

View attachment 2304286
hakuna wa kumbeba kabaki mwenyewe
 
Kila lililonamwanzo halikosi kuwa ................

Enzi za RTD na kipindi kinaishaa
 
Yanga wameshamchoka wametumia mbinu ya kijasusi kumtema wamemjaza upepo aendelee kuropoka ili akipigwa kabari ya mbao na misumari akafie mbali bila wao kuhusika.

Hii ni njia alitumia mwendazake kumtosa bashite kwa kumruhusu kwenda kugombea ubunge kigamboni huku akijua fika hatatoboa na hadithi ikaishia hapo.
Umekuwa msemaji mpya wa yanga mkuu
 
Yanga wameshamchoka wametumia mbinu ya kijasusi kumtema wamemjaza upepo aendelee kuropoka ili akipigwa kabari ya mbao na misumari akafie mbali bila wao kuhusika.

Hii ni njia alitumia mwendazake kumtosa bashite kwa kumruhusu kwenda kugombea ubunge kigamboni huku akijua fika hatatoboa na hadithi ikaishia hapo.
Napenda kumshauri Haji Manara akubali yaishe na aende akaombe ajira GSM, hawa wanoa uwezo wa kumuajiri kwani ndio walio mjaza upepo akaondoka SIMBA SPORTS CLUB. Sasa nashauri wamsitiri mndani wao huyu.
 
Hii timu ni ya mabogaz sio ya wananchi timu gani inafungwa na timu iliyotoka tanga .
Ifikie muda mtu mwenye akili ahame yanga maana akiendelea nayo atakuwa bogaz times
 
Hii timu ni ya mabogaz sio ya wananchi timu gani inafungwa na timu iliyotoka tanga .
Ifikie muda mtu mwenye akili ahame yanga maana akiendelea nayo atakuwa bogaz times
tuhamie wapi kwenye makombe mkuu ! suggestion please!
 
tuhamie wapi kwenye makombe mkuu ! suggestion please!
Ushabikie njee au hata timu ndogo mtibwa sugar,azam fc,sijui nanini ila mimi nipo Simba timu yenye msimamo tokea miaka 3 nanyonya hadi sasa.
Kitu chata ya ushindi sio kwenu rangi ya mazingira.
Saivi msemaji mkuu ni chotara anaropoka ropoka hana haya kama mlevii.
Alivyokuwa simba chata ya ushindi ilikiwa imemtuliza kiburi ila huko yanga anavuta bangi.
 
Sisi tunachofurahi manara anaipenda Simba ndio maana anafanya yote haya
alipokuwa Simba aliwaambia ukimtoa kikwete na baba yake mashabiki wa Yanga wote waliobaki hawana akili ukiyachunguza haya maneno yana ukweli asilimia 100 kwa maana haya wakati yanasemwa Yanga wenyewe na mashabiki hawakumshtaki wala hawakuonyesha kukerwa ingawa aliwatukana pindi akiwa Simba kwanini Yanga walikaa kimya kwenye hili kwakuwa ni kweli hawana akili wengi mashabiki wa Yanga ni oya oya that's why kwenye kila mahali Sisi tunaongoza kuanzia mitandao yote ya kijamii mpk uwanjani

Jana katoa mpya japokuwa yupo Yanga kaendelea kuwatania tena anasema mashabiki wote wa Yanga wana vinyesi hivi mtu kama huyu kama aliwahi kuwaambia Yanga wote hawana akili atashindwa kuwatukana tena mara ya pili mi nachoshkuru kuwatania akiwa huko huko vinyesi fc

Tatu manara akiwa sehemu yoyote tatizo lake anapenda kuliamisha katika taasisi mfano Jerry muro alipomuita ustadhi wa madrasa alimchongea Jerry eti anawatukana na kuwadhalilisha waislam alitaka wislam waingie kugombana nae lkn Simba kwakuwa ni waelewa wakalimaliza
Hitimisho alipokuwa Simba alikuwa ana matatizo mengi mara kagombana na huyu mara wachambuzi mara mwakalibela ila viongozi wa Simba walijitahidi sana kuyamaliza mpka walipoona manara ni kama mzigo wa mavi habebeki wakamfukuza sasa ameenda utopolo kazi wanayo matatizo yake anataka yawe ya taasisi yote kila la kheri Vinyesi FC kaeni nae kwa makini mkimvuruga huyo mnalo maana japokuwa yupo kwenu bado anawatania
 
Daah yani makolo bhana yaani mpk mambo binafsii yanahitaji uwe na Logo za Yanga na wadhamini wake

Unazi wa hizi timu mbili unatutoa akili zetu kabisa sio vijana wala wazee hakuna aliyepona
 
Back
Top Bottom