Yanga yaiandkia CAF kupinga matokeo ya Nusu fainali ya CAFCL kutokana na kukataliwa kwa Goli lao kwa Administrative error & match fixing allegations

Hukumu ya tukio la aina hii itakuwa nini?
1. Refa kuhukumiwa.
2. Mechi kurudiwa
3.Uto kupewa ushindi?
4. Nk
Hebu wqjuzi mkuje pande hii Uto Leo moja haiendi ,mbili haisogeiπŸ˜€πŸ˜€
Kulingana na Kanuni za CAFCL

Hukumu itakuwa Hivi..
  • Refa kupewa Adhabu
  • Mamelody kufungiwa miaka Mitatu kujihusisha na Mechi za CAF
  • Yanga kupewa nafasi kuingia Nusu fainali
 
Nimeipenda hii!

Ijapokuwa mimi ni shabiki wa Simba ila ni shabiki wa mpira vilevile.

Maamuzi waliyoyachukua Yanga ni sahihi. Hata goli la Azizi Ki lipo wazi kabisa kabisa kwa namna yoyote. Ngoja tuone yatakuwaje.
 
Endapo yanga itakuwa serious Kuna watu humo humo yanga watapewa vibunda kuzima kesi isifike FIFA. coz motsepe ni CAF president na ndiye Mamelod president. So hatakuwa tayar kuwekwa doa.
 
Football Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
 
Unajua GSM Anawahadaa Yanga Bure Hapo Hakuna Jipya Zaidi Mengineyo
World Cup Iliyochezwa South Africa
Germany vs England
Kuna Goal Lilipwa Moja Likaingia Wazi Ila Refa Alikataa Na Hakuna Jipya
Ile world cup naikumbuka. Lakini yatupasa tufahamu kwamba kila kitu kina taratibu na sheria zake na uzuri mleta uzi kaziweka kwenye baadhi ya post zake kwenye huu uzi ikowa kama sintofahamu unayooelezea ikitokea busara za sheria ni zipi ili haki ipatikane.

Hivyo, si vizuri kusema GSM anawahadaa Yanga bure. Licha ya kuwa mashabiki wa timu ila tuwe mashabiki wa mpira vilevile. Tukiwa mashabiki wa mpira huu usimba na uyanga tutauweka pembeni na kuutizama mpira kama mpira wenyewe upoje.

Mimi ni shabiki wa Simba ila niwe mkweli; shuti alilopiga Aziz Ki ni goli lile. Tena la wazi kabis. Uzuri kwenye kurasa tofauti tofauti za mpira Afrika limezungumziwa hilo! Kuwa lile ni goli la wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…