Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Kulikuwa kuna VAR kipindi hicho?Unajua GSM Anawahadaa Yanga Bure Hapo Hakuna Jipya Zaidi Mengineyo
World Cup Iliyochezwa South Africa
Germany vs England
Kuna Goal Lilipwa Moja Likaingia Wazi Ila Refa Alikataa Na Hakuna Jipya
Brother, kuna mchezaji wa mpira ambaye alikuwa mmoja tu ndiye aliyefanya soka lote libadilike ulimwenguni na sheria zake na wachezaji kuwa na maslahi makubwa.Football Politics.
Utopolo baadae anaweza kuingia conflicts na CAF officials kwa inshu za kipuuuzi puuzi namna hii. Somtimes songambele Nyuma mwiko. Inakuwaje tunaanza kutafuta Uadui kwa mamlaka za soka na wadau kwa ujumla.
Hakukuwa na VAR na hilo goli lilikuwa la Lampard. Alipiga shuti moja matata sana.Kulikuwa kuna VAR kipindi hicho?
World cup ni FIFA,hili la yanga ni la caf,Kuna mechi ya Senegal ilikua Kama hivi,nadhani Senegal walipewa ushindi au game ilirudiwaUnajua GSM Anawahadaa Yanga Bure Hapo Hakuna Jipya Zaidi Mengineyo
World Cup Iliyochezwa South Africa
Germany vs England
Kuna Goal Lilipwa Moja Likaingia Wazi Ila Refa Alikataa Na Hakuna Jipya
Naunga mkono hoja yako, pia mimi ni mjangwani kuanzia kwa baba na mababu.Haijalishi hukumu itakuwa rafiki kwetu au lah muhimu hatujakubali kushindwa kinyonge.
Tusisahau Rais ya Caf ndio mmliki wa hii timuView attachment 2955551
View attachment 2955552
View attachment 2955553
#Tuko Pamoja na Nyinyi Mpaka FIFA
Baada ya uchunguzi kuonekana walifanya hujuma.Kosa La Mamelod ni lipi?.
Hiki ndicho kizingiti kikuu kwenye rufaa hii ya wananchi,kifupi mamelody ni prince.Tusisahau Rais ya Caf ndio mmliki wa hii timu
Natamani ipite sheria mpya wamiliki wa vilabu wasiruhusiwe kuwa ni watu wanaomiliki timu za mpira wa miguu
Hapo tutaepuka na hizi mambo za kupanga matokeo
MbOna haina signatureView attachment 2955551
View attachment 2955552
View attachment 2955553
#Tuko Pamoja na Nyinyi Mpaka FIFA
napenda mechi irudiwe, sundowns watafungwa pacome, yaoyao na yule mganda wakiingia. sundowns wenyewe wanawaogopa yanga.Hukumu ya tukio la aina hii itakuwa nini?
1. Refa kuhukumiwa.
2. Mechi kurudiwa
3.Uto kupewa ushindi?
4. Nk
Hebu wqjuzi mkuje pande hii Uto Leo moja haiendi ,mbili haisogei😀😀
Hapo wamekosea kuweka tuhuma za match fixing, ambazo ni tuhuma serious kweli na hakuna ushahidiNimeipenda hii!
Ijapokuwa mimi ni shabiki wa Simba ila ni shabiki wa mpira vilevile.
Maamuzi waliyoyachukua Yanga ni sahihi. Hata goli la Azizi Ki lipo wazi kabisa kabisa kwa namna yoyote. Ngoja tuone yatakuwaje.
Sawa! Tusubiri majibu.Hapo wamekosea kuweka tuhuma za match fixing, ambazo ni tuhuma serious kweli na hakuna ushahidi
Hapo ni administrative error au poor officiating basi
Japan vs Germany kwenye kombe la Dunia 2022 uliitazama?Kulikuwa kuna VAR kipindi hicho?
Hahaha!Japan vs Germany kwenye kombe la Dunia 2022 uliitazama?
Nadhani umeshapata tofauti ya sasa na kipindi hicho, VAR ililetwa sababu ya sintofahamu kama hizo za RooneyHakukuwa na VAR na hilo goli lilikuwa la Lampard. Alipiga shuti moja matata sana.